Leo USD imeshuka, 1 USD=2050 TSH

Leo USD imeshuka, 1 USD=2050 TSH

Watu walipkuwa na dola leo wameuza isiwadodee. Maana yake dola zitakuwa nyingi next week hivyo itaendelea kushuka.Leo kununua ni 2000
 
its a funny world, some pple ar very optimistic while others ar extremely pessimistic...this is what makes the world how it is. I like this sort of rumors since time and again have proved playing a big role in exchange rate volatility......What we see depends mainly on what we are looking for.
 
Waziri wa fedha yuko busy kufuatilia maswala ya unyumba wa Mh. sugu, naibu yko busy kutafuta wadhamini na maarifa yote ya kulikomboa taifa kiuchumi anayo lakini kayaweka kwapani mpaka apewe uras ndio afanye kazi, kwa nn BOT wasi relax? Halafu watu povu linawatoka eti watu wa chadema wanashabikia eti wanalichukulia kisiasa hivi hii nchi inaongozwa na chama gani? Ingekuwa shilingi imeimarika ccm wasingejisifu? Hata huko tunakokwenda kuomba na kuaga kwa Obama ili chama kipate kura wanaangalia kimewaweka wapi ktk masuala yao ya fedha, ccm mnatia aibu hii nchi. Ptyuuuuuuuuuuuu.
 
wacheni mambo za kuangalia online , tunataka mtu aliye bureau
 
Back
Top Bottom