Leo Wapinzani ndio wanaokimbia nchi; lakini muda mfupi ujao CCM wataanza kukimbia pia

Leo Wapinzani ndio wanaokimbia nchi; lakini muda mfupi ujao CCM wataanza kukimbia pia

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wahenga wanamisemo mingi sana ya kufundisha, kuonya, kufariji, kukemea na kukupa dira. Miongoni mwa misemo hiyo, Kuna msemo mmoja, "ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji".

Msemo huo una maana kubwa sana, pia historia ina utamaduni wa kujirudia.

Siku za karibuni tumeona viongozi wa upinzani eidha wakikimbia nchi, au wakikamatwa baada ya kujaribu kukimbia kuyanusuru maisha yao baada ya kupokea taarifa za kutishiwa maisha yao.

Kuna baadhi ya wanachama wa CCM wamekuwa wakiwabeza wapinzani wanaolalamika kutishiwa maisha, wanadhani wao wako salama.

Siku si nyingi zinakuja, Moto na mtifuano mkali utaanza kuwaka ndani ya chama hicho.

Wataanza nao kutekwa, kuuliwa na kutishiwa maisha. Kama kina Kambona na Kassim Hanga walivyokimbia, hii historia inaenda kujirudia.

Hakika ni swala la muda tu.
 
Tunaaminije bila Uthibitisho.
Unaweza ukawa ni ule ule mwendelezo wa maigizo.
 

Attachments

Wahenga wanamisemo mingi sana ya kufundisha, kuonya, kufariji, kukemea na kukupa dira. Miongoni mwa misemo hiyo, Kuna msemo mmoja, "ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji".

Msemo huo una maana kubwa sana, pia historia ina utamaduni wa kujirudia.

Siku za karibuni tumeona viongozi wa upinzani eidha wakikimbia nchi, au wakikamatwa baada ya kujaribu kukimbia kuyanusuru maisha yao baada ya kupokea taarifa za kutishiwa maisha yao.

Kuna baadhi ya wanachama wa CCM wamekuwa wakiwabeza wapinzani wanaolalamika kutishiwa maisha, wanadhani wao wako salama.

Siku si nyingi zinakuja, Moto na mtifuano mkali utaanza kuwaka ndani ya chama hicho.

Wataanza nao kutekwa, kuuliwa na kutishiwa maisha. Kama kina Kambona na Kassim Hanga walivyokimbia, hii historia inaenda kujirudia.

Hakika ni swala la muda tu
Aibu sn
 
Wahenga wanamisemo mingi sana ya kufundisha, kuonya, kufariji, kukemea na kukupa dira. Miongoni mwa misemo hiyo, Kuna msemo mmoja, "ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji".

Msemo huo una maana kubwa sana, pia historia ina utamaduni wa kujirudia.

Siku za karibuni tumeona viongozi wa upinzani eidha wakikimbia nchi, au wakikamatwa baada ya kujaribu kukimbia kuyanusuru maisha yao baada ya kupokea taarifa za kutishiwa maisha yao.

Kuna baadhi ya wanachama wa CCM wamekuwa wakiwabeza wapinzani wanaolalamika kutishiwa maisha, wanadhani wao wako salama.

Siku si nyingi zinakuja, Moto na mtifuano mkali utaanza kuwaka ndani ya chama hicho.

Wataanza nao kutekwa, kuuliwa na kutishiwa maisha. Kama kina Kambona na Kassim Hanga walivyokimbia, hii historia inaenda kujirudia.

Hakika ni swala la muda tu
WaTanzania wengi mko kama mnahitaji vurugu na amani itoweke humu nchini, sijui hata mkoje

Ni kwei hao ccm wanaweza kua wabaya kwa sababu nao ni binadamu,lakini pia kutaka kuniaminisha kua wapinzai ni Malaika hii ni kutudanganya,ninao mitaani na mitandaoni watu mnapo waongelea wapinzani mnajenga picha ya tuwaone kua wao ndiyo wema sana na yamkini ndo wakawa wabaya zaidi ya hii ccm mnayo tuaminisha kuahaifai

Mpinzani anaweza pia kutengeneza malalamiko yanayo lingana na ukwei na kumbe ni muongo tu

Chama ccm na ubaya wake lakini bado tumeona mengi mazuri wakifanya kupitia Rais wao,ninyi mnakuja kusema hawafai,ni dhahiri kabisa ushindi wao wa mwaka huu unatokana na imani ya wananchi kuona kazi kubwa ya Rais kwa miaka mitano,ninyi mnalazimisha tuone hawajafanya kitu

Na pia mnatamani kuona kua nchi hii imechafuka haikaliki,yamkini ninyi ndiyo wapinzani wenyewe ambao mlitamani mamlaka na ninyi mpige pesa na imeshindikana,sasa mna hasira chungu mzima na hizo hasira mnalazimisha zichukuliwe na waTanzania wote.

Swala la upinzani kuja kushinda uchanguzi na wao ccm kukimbia ni sehemu ya maisha kweni nini? Hiyo ndiyo itasababisha tuone kua upinzani unafaa?

Waliobeba neno demokrasia pale Libya wakakataa mazuri yaliyo kuwepo leo wako wapi? Ghadafi alikufa na Libya yake ameacha wanakimbia kimbia na kuzama baharini kila siku,Tanzania hatuna kikubwa tunacho hitaji zaidi ya AMANI.

Na ningekua mimi ndiyo Rais wa nchi hii nasema wazi ningefunga mitandao yote hii ya kijamii ili tufanye kazi tu kukuza uchumi kwisha. Tungeishi kama nchi ya Brunei na mambo yangekwenda tu

Acheni kuiga utamaduni wa nje usio tuhusu,maana hata wao hawaigi utamaduni wetu zaidi ya sisi kujipendekeza kwao kuwaambia wakusaidieni kuwatunza uchaguzi haukua hulu na haki

Tume haiko hulu lakini umechulichukua fomu ya kugombea

Mahakama haiko hulu lakini unajiandaa kuapa

Vyombo vya habari haviko hulu lakini mnaviita ili kuzungumza

UPUUZI.
 
Back
Top Bottom