Leo yametimia yaliyosemwa na Hayati Magufuli mhimili mmoja umejichimbia zaidi na ndio unaolipa mishahara mihimili mingine.

Leo yametimia yaliyosemwa na Hayati Magufuli mhimili mmoja umejichimbia zaidi na ndio unaolipa mishahara mihimili mingine.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kuna mwanahabari alielezwa hili jambo kuwa japokuwa kuna mihimili mitatu ya dola yaani Bunge, Mahakama na serikali kuu. Mhimili mkoja umejisimika zaidi. Maana umejichimbia zaidi na kusimika mizizi.

Leo bila ya kumug'unya maneno tumesikia kwa masikio yetu na macho yetu. Mkuu wa mhimili wa Bunge amenyoosha mikono juu.

My take; Tusimshambulie bure Spika Ndugai maana mhimili anaouongoza haujasimika mizizi.
 
Hata kwenye nyumba mkizaliwa watatu, afu ww ndio ukawa unanunua chakula, mkaa, mboga na mafuta kila siku, lazima wengine watakuheshimu tu hakuna namna.
Tofauti ni kwamba taifa sio sawa na familia
 
Dhaifu kajitokeza mbele ya press na mafua yake ili atubu na kuomba sala ya msamaha.

Huo mhimili uliyojichimbia ni hatari sana
 
Kuna mwanahabari alielezwa hili jambo kuwa japokuwa kuna mihimili mitatu ya dola yaani Bunge, Mahakama na serikali kuu. Mhimili mkoja umejisimika zaidi. Maana umejichimbia zaidi na kusimika mizizi.

Leo bila ya kumug'unya maneno tumesikia kwa masikio yetu na macho yetu. Mkuu wa mhimili wa Bunge amenyoosha mikono juu.

My take; Tusimshambulie bure Spika Ndugai maana mhimili anaouongoza haujasimika mizizi.
Kuna mambo mengi Y hovyo aliyafanya Magufuli kwa hulka ya UJUHA na UFEDHULI wake kama taifa itatuchukua miaka mingi sana kuyaweka sawa.
Hii separation of power checks and balance nilikuwepo japo kinadharia. Wenzake walienda mayo hivyohivyo ilivyo.
Yye kwa ufedhuli wake akatamka kabisa kwamba kuna uliojichimbia zaid KISA ndo unalipa?
I wish I could be IGP ???
Kamteua sirro ili amshambulie TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISU
 
Tanzania ni taifa bora kushinda mataifa mengi barani afrika....

Hivi lilivyo ndio USALAMA NA UTULIVU WETU.......

Hasta la Victoria El Comandante JKN 🙏

Rip Julius K.Nyerere ,amen🙏

Siempre URT🙏
 
Huu muhimili uliokita mizizi chini unaweza kuipiga njaa mihimili mingine na hali ikawa ya mtafutano, msameheni bure ndugai.......njaa isikie kwa jirani tu.
😂
 
Kuna mwanahabari alielezwa hili jambo kuwa japokuwa kuna mihimili mitatu ya dola yaani Bunge, Mahakama na serikali kuu. Mhimili mkoja umejisimika zaidi. Maana umejichimbia zaidi na kusimika mizizi.

Leo bila ya kumug'unya maneno tumesikia kwa masikio yetu na macho yetu. Mkuu wa mhimili wa Bunge amenyoosha mikono juu.

My take; Tusimshambulie bure Spika Ndugai maana mhimili anaouongoza haujasimika mizizi.
Tunaposema tunataka katiba mpya mnajisheshedua matako juu kama hamjui...
Sasa ndio mnajua kenge nyie...
Wakati yule mwehu tunasema anavuruga kupita hata awengine waliopita kwa kujifanya yeye ndio yeye..
mliokuwa wapi pimbi nyinyi....ndio kwanza mlikuwa mnashangilia....
 
Ni dhahiri kuwa maamuzi ya kesi nyingi za kisiasa Yamato lees kwa muongozo wa Rais ushahidi umejionyesha leo.
 
1641258221915.png
 
Tofauti ni kwamba taifa sio sawa na familia
Tofauti ni kwamba mmoja ni mkuu wa nchi nzima, amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama, mkuu wa serikali, dereva wa dira ya nchi, mwenye mamlaka ya kusimamia malipo ya wanajeshi wa vyeo vyote, polisi wa vyeo vyote, viongozi wa serikali, wafanyakazi wa umma vyeo vya juu na chini, hata hiyo mihimili mingine miwili inapata mshahara kupitia serikali inayoongozwa na huo mhimili mkubwa. Hao wengine ni wakuu wa mihimili yao tu hawana cha zaidi.
 
Hakuna cha kujichimbia chini wala nini hapo shida ni unafiki tupu ndio unao wasumbua viongozi walio wengi pamoja na wananchi wao.
 
Ule mhimili ni kama jua yaani chanzo Cha uhai wa Sayari zote,bila wenyewe nothing happen
I surrender! I surrender!I surrender!
(In kimbunga Jobo voices)
🙌🙌🙌🙌
😁😁😁😁
 
Haya yote ni mapungufu ya katiba iliyopo, na inadhihirisha ni kwa namna gani kama nchi tunahitaji katiba mpya.

JPM alichokifanya ni kusema ukweli kwamba mhimili wa u rais umejichimbia zaidi kuliko mingine.
 
Kuna mambo mengi Y hovyo aliyafanya Magufuli kwa hulka ya UJUHA na UFEDHULI wake kama taifa itatuchukua miaka mingi sana kuyaweka sawa.
Hii separation of power checks and balance nilikuwepo japo kinadharia. Wenzake walienda mayo hivyohivyo ilivyo.
Yye kwa ufedhuli wake akatamka kabisa kwamba kuna uliojichimbia zaid KISA ndo unalipa?
I wish I could be IGP ???
Kamteua sirro ili amshambulie TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISU

Wewe unae kataa ukweli kwamba kuna muhimili wenye nguvuzaidi wewe ndio juha.
 
Kuna mwanahabari alielezwa hili jambo kuwa japokuwa kuna mihimili mitatu ya dola yaani Bunge, Mahakama na serikali kuu. Mhimili mkoja umejisimika zaidi. Maana umejichimbia zaidi na kusimika mizizi.

Leo bila ya kumug'unya maneno tumesikia kwa masikio yetu na macho yetu. Mkuu wa mhimili wa Bunge amenyoosha mikono juu.

My take; Tusimshambulie bure Spika Ndugai maana mhimili anaouongoza haujasimika mizizi.
Hawa wanafiki ndiyo wametufikisha hapa maana wanajua mihimili ikiwa sawa keki ya taifa kila mtu ataionja
 
Back
Top Bottom