William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Ngoja nikuitiie Dr. SlaaWaamuzi hawapendi sana kukosolewa na kushitakiwa. Alifanya hivyo sana Mourinho Chelsea sema alikuwa na kikosi bora sana na alizikabili hujuma.
Ila Yanga leo watajua hawajui
mshumbullahUnaelewa maana ya Mshumbusi lakin!?
Wanaume huwa hatuulizani maswali ya kike kike kama hilo.Unataka ukampikie?Umekula mchana huu?
Yaani mbumbumbu sio, [emoji1][emoji1][emoji1]Kijana wa Rage huna ulijualo. Mpira wa miguu ni mchezo wa wazi. Hicho unachokiongea, hakipo.
[emoji1787][emoji23]Waamuzi hawapendi sana kukosolewa na kushitakiwa. Alifanya hivyo sana Mourinho Chelsea sema alikuwa na kikosi bora sana na alizikabili hujuma.
Ila Yanga leo watajua hawajui
vipi wanejuta?Waamuzi hawapendi sana kukosolewa na kushitakiwa. Alifanya hivyo sana Mourinho Chelsea sema alikuwa na kikosi bora sana na alizikabili hujuma.
Ila Yanga leo watajua hawajui