Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Hahahah Sasa mbona unakubali harakaharaka ivyo
Unatakiwa ukaze
Woi
Mambo ya "nataka sitaki" a.k.a "kisebusebu" sina kabisa. Nimenyooka hivi.
Sema basi babe, nishakuelewa, na hapa niko tayaritayari. Jibu nishatoa, ni wewe tu sasa babe.
 
Lloyd Munroe unamaana gani hebu fafanua kwa kiswahili!
Fursa na muda tu bahati huwa haipo.
Muda na mabadiliko havizuiliki hvyo Nafasi au fursa hujitokeza.

Me nasubiri TU najua muda waja Kuna bwege ataachwa tu. Mnyazi yupo kijana.πŸ˜†πŸ˜†
 
Fursa na muda tu bahati huwa haipo.
Muda na mabadiliko havizuiliki hvyo Nafasi au fursa hujitokeza.

Me nasubiri TU najua muda waja Kuna bwege ataachwa tu. Mnyazi yupo kijana.πŸ˜†πŸ˜†
Mkuu vp leo wamekufata inbobo au unasubiri wa mnyazi
 
Mkuu vp leo wamekufata inbobo au unasubiri wa mnyazi
πŸ˜†Hehe aah Mnyaazi Ni mwema siku zote kijana wangu. Mwaaa Kama mvua unaambiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­
Nyie πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…