Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
umetema madini,kalainika.kwann akatae?Sasa anakubalije kirahis hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetema madini,kalainika.kwann akatae?Sasa anakubalije kirahis hivi
Kaona isiwe tabuumetema madini,kalainika.kwann akatae?
kazi kwako,mtumie nauliKaona isiwe tabu
Hahha hapo ndo pagumu aje Kwa nauliyake nitamrudishia 😂kazi kwako,mtumie nauli
Handsome BoyBaby success nini maana halisi ya hb??
hahahahahahaHahha hapo ndo pagumu aje Kwa nauliyake nitamrudishia 😂
Aunt huyu ni wewe kwani 😀😀Tangu umekuwa rafikiyangu,
Wewe ndiye sababu ya kuamka na tabasamu,mara nying nacheka hata wakati wengine wanatarajia nilie. Kwa sababu kuna kitu cha pekee juu ya upendo wako ambacho kinanifanya nijisikie furaha
unajaza kila sehemu ya maisha yangu Kila ninapoona ujumbewako hua nahis sikuyang imekamilika
mbna maneno yameisha Sasa😂😂😂😂
🤣🤣🤣Dah!!Sweetheart ulipotea sanaSweetheart
Miss you
Aiseeee hili ni zaidi ya tongozo labla nifundishwe kwanza hiv hiv sio rahisi😆Mbona hata ww unaonekana fundi hah [emoji38] [emoji1787] [emoji23]. Hilo pozi la kulala kifudifudi halafu ana nightdress tu [emoji1] [emoji3]
Ukipeperuka ntabaki najilaumu[emoji23]Nizungushe zungushe kidogo[emoji1787]
Na wewe tema madini tukuone unavyojua kupangilia mistari[emoji1]Aisee uko vizuriii, and Tuzo iende kwa Carleen Kwa hii vocal umeshinda [emoji23][emoji23]
Aunt nilipokonywa simu 🤣Aunt huyu ni wewe kwani 😀😀
😂Ukipeperuka ntabaki najilaumu[emoji23]
wakiwezeshwa wanawezaKutongoza tu wanashindwa lakini utasikia wakijigamba "wanawake tunaweza!"
Mnaweza nini?
Nimetoa madini yangu hapo juu, nimeambiwa hamna sijui😂Na wewe tema madini tukuone unavyojua kupangilia mistari[emoji1]
Alie andikiwa lazima akubali sio kwa hiyo mistari 🙌😀 upo vizuri auntAunt nilipokonywa simu 🤣
Nilianza kutoa saundi, ukanichekaa nikakata tamaa😂hahahahaha,mdada katema sound ya mbna.,tunasubiri zamu yako
Nisemeje sasa? Nipe manenokama ni mimi ushanikosa kwa sound hiyo.
Hahha Asante auntAlie andikiwa lazima akubali sio kwa hiyo mistari 🙌😀 upo vizuri aunt
hahahaha,wapi api ? Cwezi kukakataa tongozo lakoNilianza kutoa saundi, ukanichekaa nikakata tamaa😂