Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Shauri akohapo ndio umetongoza daah kunavitu vinachekesha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri akohapo ndio umetongoza daah kunavitu vinachekesha sana
ivi pale ndio umetongozaShauri ako
Uwezo wangu ndo umeishia hapo.ivi pale ndio umetongoza
wewe subiri kutongozwa tuh binti yangu namna ile hapana kwa kweliUwezo wangu ndo umeishia hapo.
Next time ntajitahidi kaka angu.wewe subiri kutongozwa tuh binti yangu namna ile hapana kwa kweli
kuna vitu vidogovigo naona hujaviweza bado mdogo wangu ebu njoo pm nikupe pam la mtongozoNext time ntajitahidi kaka angu.
Mwanamke na kutongoza wapi na wapi kaka angu.kuna vitu vidogovigo naona hujaviweza bado mdogo wangu ebu njoo pm nikupe pam la mtongozo
Mtongozo tena we nitingozee hapa hapa tuone kama kweli wewe hatarikuna vitu vidogovigo naona hujaviweza bado mdogo wangu ebu njoo pm nikupe pam la mtongozo
nakupatia notes tuh japo mwandiko wake nimeandika kama nandika na mguu lakini zinaelewekaMtongozo tena we nitingozee hapa hapa tuone kama kweli wewe hatari
mkiwezeshwa si mwaweza lakini au imekuwaje tenaMwanamke na kutongoza wapi na wapi kaka angu.
Labda kutongozwa na kupendwa
Kwa hiyo unataka kunifundisha mitongozo?nakupatia notes tuh japo mwandiko wake nimeandika kama nandika na mguu lakini zinaeleweka
Mie sina neno walamkiwezeshwa si mwaweza lakini au imekuwaje tena
naweza kuita kitu kama hicho, nimeona una kitu ndani yoko na kazi yangu ni kuibua vipajiKwa hiyo unataka kunifundisha mitongozo?
Kitu ndani yangu umekiona vipi wakati we huko nje?naweza kuita kitu kama hicho, nimeona una kitu ndani yoko na kazi yangu ni kuibua vipaji
hilo ni somo na linapatikana ndani ya notesKitu ndani yangu umekiona vipi wakati we huko nje?
😂😂😂
hilo ni somo na linapatikana ndani ya notes
Nakupenda mno shemeji....
Kwamba utajitahidi🤣🤣🤣🤣🤣ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendeze
Na wee ume edit kwenye uje ukaweka yakwako🤣🤣🤣