Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Nasubiri mtongozo ujue toka kwako ,swahiba,😂😂[emoji28][emoji28][emoji28]Sawa Swahiba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri mtongozo ujue toka kwako ,swahiba,😂😂[emoji28][emoji28][emoji28]Sawa Swahiba..
Swahiba!!!!Nasubiri mtongozo ujue toka kwako ,swahiba,[emoji23][emoji23]
Wengine sijui ndio tuna gundu hatukumbukwi popote hata huko pepon tukasahaulika [emoji2]Wengine hatujulikani hata kwenye ule uzi wa mtaje mtu yeyote with no reason hutukuti tagged sembesu huku kutongozwa
Jichanganye utajulikana,asa ukijitenga tenga nani atakukumbuka?Wengine sijui ndio tuna gundu hatukumbukwi popote hata huko pepon tukasahaulika [emoji2]
Nachomokaje sasa,swahibaSwahiba!!!!
Ndiyo nauleta...
Hiyo mistari sioni ukichomoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nachomokaje sasa,swahiba
😂😂😂😂, nasubiri ,nijing'ate ng'ate[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nijichanganye kwa maana ipi labda?Jichanganye utajulikana,asa ukijitenga tenga nani atakukumbuka?
Nitongoze basi[emoji3]Jichanganye utajulikana,asa ukijitenga tenga nani atakukumbuka?
Kwanza baby ameshakuwa yule, anahitaji mdogo wake 😍😍😍😍Na hivi ni weekend, tusikutane nyumbani, twende hotelini, iwe penzi kama jipya vile.
🤣🤣🤣🤣Ngoja tumalizie mitongozo kwanza...
Tuone kama kuna atakayeingia kingi....tunaye🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nasubiri ,nijing'ate ng'ate
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aaah kama dada tu ninae, hapa niombe kingine!!
Hahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujingata ngata Itakuwa ngumu...
Kabisa, leo ni miuno ya uzazi ndio inahusika...😋Kwanza baby ameshakuwa yule, anahitaji mdogo wake 😍😍😍😍
Haha siwez kutongoza nipe tuition
Cheka na watu,shirikiana nao siyo unajificha fichaNijichanganye kwa maana ipi labda?
Wee ukisema tuu mzabzab i miss u ndio tayari umeshatongoza hapoHaha siwez kutongoza nipe tuition
Dah....ngoja nitafute WA kumtokeaMtongozo kimya kimya
HahahahaDah....ngoja nitafute WA kumtokea