Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kaa hapo hapo🤣 Nibembelezee basi nilale maana niko nawaangalia taifa stars.
Eendiwoooooooo ndiwooo !! Mlete Nimwagie mavokali kama yotreee!!🤣 You sure madam unataka tukuletee umpige mtongozo ulio nyooka.
Mistari yaa mahaba au ya kumchamba ccy
😂😂😂😂😂mpe mtu simu akushikie savannah imeanza kupenya😆
Hio sauti tamu ndio akuimbie mpaka usinzie sis Hebu afanye manuvaa hapooShem wa mchongo hiyo ccy sauti yake tramuuu sana😂😂😂
😂😂😂Ntaimbiwa na babe mkuuHio sauti tamu ndio akuimbie mpaka usinzie sis Hebu afanye manuvaa hapoo
hapo kichwa chepesiiiiii😂😂😂😂😂
Ya mahaba kipenziii Mie sijui kuchambaa eti!Mistari yaa mahaba au ya kumchamba ccy
😂😂😂Hivi unaniona me mlevi mlevi ety kwa taarifa yako nina skil zangu timamuhapo kichwa chepesiiiiii
Hapana akuimbie poker si umesema ana sauti ya kumtoa Nyoka pangoni sis ☺️😂😂😂Ntaimbiwa na babe mkuu
Kaa hapo hapo ccyYa mahaba kipenziii Mie sijui kuchambaa eti!
aisee, hadi kutype unashindwa😅skil zangu timamu
Ya mahaba kipenziii Mie sijui kuchambaa eti!
Wewe em niache ban wewe naumwa macho leo😂😂😂😂😂😂😂😂aisee, hadi kutype unashindwa😅
upo kiwanja gani
naomba nyimbo ya haniii by zuchuWewe em niache ban wewe naumwa macho leo😂😂😂😂😂😂😂😂