Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Nimeangalia mechi ya Uganda na Taifa Stars timu imecheza vizuri sana hasa eneo la kati. Dickson Job leo alikuwa anacheza kwa kurelax.
~ Muzamir well done japo una pass za nyuma na uchelewa kupoteza mpira ila kwenye kukaba uko vizuri.
~ Mudathir well performance big brain pale kati palitulia
~ Ibrahim Bacca hazina ya taifa leo ulikuwa unakaba kwa akiri na maarifa zaidi kuweka lango la Tanzania salama.
~ Manura well done Air Tanzania.
~ Msuva 🙌.
Kocha uliona mbali kuziacha zile beki zao.
~ Muzamir well done japo una pass za nyuma na uchelewa kupoteza mpira ila kwenye kukaba uko vizuri.
~ Mudathir well performance big brain pale kati palitulia
~ Ibrahim Bacca hazina ya taifa leo ulikuwa unakaba kwa akiri na maarifa zaidi kuweka lango la Tanzania salama.
~ Manura well done Air Tanzania.
~ Msuva 🙌.
Kocha uliona mbali kuziacha zile beki zao.