Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Inaunganishwaje?Ile robo huunganishwa kwa miaka mi4 ndo inapatikana siku ya 366, kwahiyo kwa kawaida hatuwez itambua
Topic imefungwa rasmi. Mleta mada leta uzi mwingine huu umefikia hitimishoIle robo huunganishwa kwa miaka mi4 ndo inapatikana siku ya 366, kwahiyo kwa kawaida hatuwez itambua
Kila baada ya miaka 3, mwaka wa nne unakuwa na siku 366.Inaunganishwaje?
Labda nijitahidi kukueleza navyojua.Ile robo ni Magumashi
Fuatilia maelezo utaelewa tuMyth
Ngoja nijaribu lakini bado maswali ni mengi...Fuatilia maelezo utaelewa tu
Hawa ndio wale Ngwini niliowataja awali.Topic imefungwa rasmi. Mleta mada leta uzi mwingine huu umefikia hitimisho
Nashukuru kwa hii fursaUliza nami ntajaribu kukuelewesha ninavyojua
Siku 28, 29, 30, 31... kwanini mna base katika siku 28 na 29? kwanni 30 na 31 mnaziacha... labda kama siku zingekuwa 30 au 31 alafu hizi 28 na 29 ndio zinakuja kuleta hayo mabadiliko...Uliza nami ntajaribu kukuelewesha ninavyojua
Kabla ya kalenda watu walitumia sana elimu ya nyota,hasa hasa the Ancient greeks who were the first true astronomers.zaidi ya hilo tuna vitu vinaitwa constellations navyo vilitumiwa sana!!!Mambo haya ya kugawa mwaka yamekuja baada ya wa Egypt kugundua kalenda na kuugawanya mwaka katika miezi 12Siku 28, 29, 30, 31... kwanini mna base katika siku 28 na 29? kwanni 30 na 31 mnaziacha... labda kama siku zingekuwa 30 au 31 alafu hizi 28 na 29 ndio zinakuja kuleta hayo mabadiliko...
Pia huu ugunduzi wa kalenda ulifanyika miaka ya karibuni hapa... je kabla ya hapo walikuwa wana ishi kwa kipimo gani cha kung'amua ukubwa wa mwaka siku na miezi? au ilikuwa kama jera usiku na mchana?
Tujadili nini sasa wakati jibu la awali uliloleta hapa umepewa?Hawa ndio wale Ngwini niliowataja awali.
Povu la nini kijana?
Siku 28, 29, 30, 31... kwanini mna base katika siku 28 na 29? kwanni 30 na 31 mnaziacha... labda kama siku zingekuwa 30 au 31 alafu hizi 28 na 29 ndio zinakuja kuleta hayo mabadiliko...
Pia huu ugunduzi wa kalenda ulifanyika miaka ya karibuni hapa... je kabla ya hapo walikuwa wana ishi kwa kipimo gani cha kung'amua ukubwa wa mwaka siku na miezi? au ilikuwa kama jera usiku na mchana?