Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Wajuvi wa hili wahini kabla #Ngwini# hawajachafua uzi huu kwani wao kila kitu ni povu tuu.
Direct to the point;
Tumekuwa tukiaminishwa yakuwa mwaka una siku 365 na robo, swali ni je katika hizi siku tatu zilizo salia yaani tar 29, 30, 31 ile robo ilishapita au ipo kwenye hizo siku zilizobakia na kama ndio au lah hiyo robo inakuwaje kuwaje?.
Direct to the point;
Tumekuwa tukiaminishwa yakuwa mwaka una siku 365 na robo, swali ni je katika hizi siku tatu zilizo salia yaani tar 29, 30, 31 ile robo ilishapita au ipo kwenye hizo siku zilizobakia na kama ndio au lah hiyo robo inakuwaje kuwaje?.