MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Nenda kwenye website ya costechTupe link tupitie maana lumumba hawaaminiki
duh hili hata ZFA na TFF Hawalifahamu....maana wangelitumia kutafuta kikiAsee ni kwel nimeenda kwenye profile ya sane nmefukunya nimeona. Baba yake ni msenegal anaitwa Sane Suleiman Jean. Alikua striker wakat anacheza soka na mwaka 2010 alikuwa kocha wa Zanzibar heros. Asante mkuu kwa madini.
Ahhh haaahUsiweke link Yoyote wakatafute wenyewe
Asee ni kwel nimeenda kwenye profile ya sane nmefukunya nimeona. Baba yake ni msenegal anaitwa Sane Suleiman Jean. Alikua striker wakat anacheza soka na mwaka 2010 alikuwa kocha wa Zanzibar heros. Asante mkuu kwa madini.
Winga machachari wa ujerumani na klabu ya Manchester City Leroy Sane amewashangaza wengi baada ya kuitaja Tanzania alipofanya mazungumzo na jarida la michezo la Kicker sportmagazin.
Sane pamoja na mambo mengine mengi aliyoongea na gazeti hilo alitaja maisha aliyoishi Tanzania wakati baba yake akiifua timu ya Zanzibar,Leroy alidai wakati wa likizo alikuwa akija Dar es Salaam kumtembelea baba yake Suleiman Sane(aliifundisha Zanzibar miaka ya kati ya 2000 ) na walikuwa wakifanya mazoezi pamoja katika kiwanja cha Bandari TMK na amedai anatamani sana kurudi Tanzania kama kocha au kufungua shule ya mpira akistaafu soka.
Kila la kheri kijana
Nimeipenda hii ,maisha ya uswazi matamu sana,usikute kuna demu wake Tandika
Winga machachari wa ujerumani na klabu ya Manchester City Leroy Sane amewashangaza wengi baada ya kuitaja Tanzania alipofanya mazungumzo na jarida la michezo la Kicker sportmagazin.
Sane pamoja na mambo mengine mengi aliyoongea na gazeti hilo alitaja maisha aliyoishi Tanzania wakati baba yake akiifua timu ya Zanzibar,Leroy alidai wakati wa likizo alikuwa akija Dar es Salaam kumtembelea baba yake Suleiman Sane(aliifundisha Zanzibar miaka ya kati ya 2000 ) na walikuwa wakifanya mazoezi pamoja katika kiwanja cha Bandari TMK na amedai anatamani sana kurudi Tanzania kama kocha au kufungua shule ya mpira akistaafu soka.
Kila la kheri kijana
Kama alifuata ya mzee wake atakuwa muislamMkuu! Leroy Sane ni dini gani?