chardboy77
Member
- Aug 5, 2013
- 53
- 5
samahani wadau, mimi nahitaji kufanya biashara za e_money kijijini kwetu manake wananchi wanapata shida huku. Nauliza leseni ya biashara huwa inakatwa baada ya kuanzisha biashara au kabla? Na proces zake ni aje?
Kwanza uwe na TIN inapatikana TRA kisha nenda kwa afisa biashara ukiwa na kitambulisho na uthibitisho wa eneo la biashara. Utapewa fomu ukalipie bank na ada ndogo kabisa ni Tsh 40,000(saloon)
nashukuru, sasa uthibitisho wa eneo la biashara ndo upi?