Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,122
- 912
Asalaam
Kama kichwa kinavosema. mwenyeufahamu au ambaye tayari amepata hii leseni ya usafirishaji bidhaa mbalimbali kwenda nchi jirani za Afrika Mashariki, naomba anisaidie kufahamu hatua zakufuata na gharama zake mpaka naimiliki.
Nitashukuru kwa michango yenu
Kama kichwa kinavosema. mwenyeufahamu au ambaye tayari amepata hii leseni ya usafirishaji bidhaa mbalimbali kwenda nchi jirani za Afrika Mashariki, naomba anisaidie kufahamu hatua zakufuata na gharama zake mpaka naimiliki.
Nitashukuru kwa michango yenu