Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

Nitafute naamini kuna mengi utajifunza , mimi nilishaifanya hii biashara pia ni nilifanya kwenye microfinance na uzoefu wa kazi zaidi ya miaka 5,
Nifafute tuongee na kushauriana kadri nitakavyojaaliwa 0624848004
 
mkuu hakuna leseni ya mikopo midogo midogo , Kuna leseni yakukopesha ambayo generally nakupa breakdown ya face cost , ambayoninaweza kuwa zaid au chini ya lakini ni around hapo , na hapo jua nimeinclude service charges
1. brela registration
business name 50k
company 550k
2. tra /tax clearance 300k-500k
3. bot permit 1.2m-1.5m
4. brela , leseni yenye sura ya kitaifa hii 600k

ko hapo mkuu ukiangalia kwa kigezo cHa 20m capital almost 15%-20% ya huo mtaji utaitumia kwa registration issues na office
I stand to be corrected

Mkuu hizi figures sidhani kama ziko sahihii.
 
Hiyo siyo mikopo midogo midogo bhana! Huku mtaani tunaiita mikopo ya kausha damu. Na ukifanikiwa kusajili, basi utambue fika mbinguni huendi.

Maana ili ufanikiwe kurudisha hela yako pamoja na faida, basi utatakiwa kuwa na uso wa mbuzi, mbabe, mkatili, na mtu usiyecheka na nyani.
Nilazima pia uwe na mabaunsa wa kufuatilia wadeni wako🤣🤣🤣🤣🤣🪑
 
Round cost ushapewa. Kama money in the bank, usisite, nenda pale BOT sio polisi wala jehanamu, utapewa elimu zaidi ya hii. Ili ufanye kazi. Kazi nzuri hiyo kapambane. Mimi ndio private bussiness yangu. Nenda kale elimu pale.
 
mkuu hakuna leseni ya mikopo midogo midogo , Kuna leseni yakukopesha ambayo generally nakupa breakdown ya face cost , ambayoninaweza kuwa zaid au chini ya lakini ni around hapo , na hapo jua nimeinclude service charges
1. brela registration
business name 50k
company 550k
2. tra /tax clearance 300k-500k
3. bot permit 1.2m-1.5m
4. brela , leseni yenye sura ya kitaifa hii 600k

ko hapo mkuu ukiangalia kwa kigezo cHa 20m capital almost 15%-20% ya huo mtaji utaitumia kwa registration issues na office
I stand to be corrected
Ukienda BOT lazima uwe na mtaji usiopungua m20. Tena zisiwe ela za mkopo. Kama huna bora kuishia halmashauri tu wanatoa vibali
 
Back
Top Bottom