poleni na kazi,
ninaomba msaada kwa wanaojua, kampuni yangu imekekuwa ikifanya kazi za umeme za kawaida namshukuru mungu mwendo si mbaya nimekuwa kwa kiasi fulani, sasa kwa kuwa nimekuwa nahitaji kuwa nq leseni ya ya ukandarasi ili niweze kuomba kazi kubwa,
wandugu naombeni msaada wenu.
ninaomba msaada kwa wanaojua, kampuni yangu imekekuwa ikifanya kazi za umeme za kawaida namshukuru mungu mwendo si mbaya nimekuwa kwa kiasi fulani, sasa kwa kuwa nimekuwa nahitaji kuwa nq leseni ya ya ukandarasi ili niweze kuomba kazi kubwa,
wandugu naombeni msaada wenu.