Lesson; always read your girl friend/boyfriend's messages.

Lesson; always read your girl friend/boyfriend's messages.

Mkiambiwa hawamaanishi alafu wanachosha...msipoambiwa ohhhh hatupendwi!Wanawake bana.....hatuna jema!


Lizzy kila kitu too much is harmful, sio mbaya akwambie siku moja moja.... Personally i cant stand mtu ambae ananisifia kila saa inanifanya nijisikie embarrased. Lizzy unataka kuniambia unaweza penda uambiwe 3 times a day kila siku ?
 
Lizzy kila kitu too much is harmful, sio mbaya akwambie siku moja moja.... Personally i cant stand mtu ambae ananisifia kila saa inanifanya nijisikie embarrased. Lizzy unataka kuniambia unaweza penda uambiwe 3 times a day kila siku ?
Sio kila kitu bwana....kuna excepsheni!Sema tatizo labda ni ule usemaji ndo unaweza kukuchosha maana unaishia kuzoea!Let say kaamka kabla yako akakuachia kanote pembeni ya kitanda asubuhi...mchana akakujulia hali kwa simu na story za hapa kwa hapa alafu akakuaga na nakupenda desh desh....usiku wakati mnalala akakukiss goodnite huku akitamka i love you kwa kunong ‘ona kabla hajapotelea zake usingizini je utaboreka na NAKUPENDA yake ya siku hiyo???Sio rutine ya kila siku lakini!!!

Akikusifia just enjoy it bwana!Ni kazi yake kukuadmire kabla hata hujakodolewa macho na wa nje!
 
Usichoke kutoa sifa Asha; usipomsifu wewe ataja pata wa kumsifu akusahau. Mimi nasifia tu hata kinafiki.


Lizzy kila kitu too much is harmful, sio mbaya akwambie siku moja moja.... Personally i cant stand mtu ambae ananisifia kila saa inanifanya nijisikie embarrased. Lizzy unataka kuniambia unaweza penda uambiwe 3 times a day kila siku ?
 
Sio kila kitu bwana....kuna excepsheni!Sema tatizo labda ni ule usemaji ndo unaweza kukuchosha maana unaishia kuzoea!Let say kaamka kabla yako akakuachia kanote pembeni ya kitanda asubuhi...mchana akakujulia hali kwa simu na story za hapa kwa hapa alafu akakuaga na nakupenda desh desh....usiku wakati mnalala akakukiss goodnite huku akitamka i love you kwa kunong ‘ona kabla hajapotelea zake usingizini je utaboreka na NAKUPENDA yake ya siku hiyo???Sio rutine ya kila siku lakini!!!

Akikusifia just enjoy it bwana!Ni kazi yake kukuadmire kabla hata hujakodolewa macho na wa nje!
l
Hayo uloongea yoooote, that's a definition of ME.... Lizzy basi huhanielewa, maybe niseme huu mfano ni sana kwa watu ambao hawajaoana ni wapenzi tu na wala hawaishi pamoja (Maana ni true fact wanandoa wanamajukumu mengi nje ya kupendana).... wewe kama binti umeamka asubuhi unapata message I love you, saa tano I miss you, saa 10 I love you saa 12 am thinking about you... Jamani personally I can not take it na nitaanza kuwa na wasi wasi kua yuko lose hayuko focused na kazi - nazungumzia upande wa watu wazima acha hawa teenagers wanaojifunza...
 
Usichoke kutoa sifa Asha; usipomsifu wewe ataja pata wa kumsifu akusahau. Mimi nasifia tu hata kinafiki.


Sifa natoa saana NK maana ni mengi anastahili kusifiwa, ila zinakua za kiutu uzima ... when I say I love you nasema in a way hata yeye hana doubt kua ni kweli... na hio ni kama mara 10 kwa mwaka....
 
Sifa natoa saana NK maana ni mengi anastahili kusifiwa, ila zinakua za kiutu uzima ... when I say I love you nasema in a way hata yeye hana doubt kua ni kweli... na hio ni kama mara 10 kwa mwaka....
Kumi kwa mwaka????Miezi miwili yote humwambii.....usiwe mchoyo bwana!
 
Kumi kwa mwaka????Miezi miwili yote humwambii.....usiwe mchoyo bwana!


Nisiseme kujisafisha, kweli simwambii kiasi hicho, na naamini anajua kabisa kua roho yangu inadundia pake.... Najua mwenyewe ni jinsi gani ya kumuonesha nampenda kila siku.... Konesha mapenzi ya kweli haiitaji maneno meengi - mimi my great strength ni vitendo nimfanyiavyo.... Hivyo hata ampate wa kumwambia kila siku sitishiki, najua actions speak louder than words....
 
Sifa natoa saana NK maana ni mengi anastahili kusifiwa, ila zinakua za kiutu uzima ... when I say I love you nasema in a way hata yeye hana doubt kua ni kweli... na hio ni kama mara 10 kwa mwaka....


You like this......

:happy::happy:
 
There was a guy who was so tired of reading his girlfriend's message....
because there are always i love, i miss you or have you eaten your meals?
One night while lying in bed, he received a text message from her....
he didn't read it, instead he went to sleep.

In the morning, he was woke by a call from his gf's mom....
she was crying while telling him that his girlfirend was killed that night she texted him.

He remembered the message and he read it... "honey pls c0m &help me, sum1 s following me...pls"

Mi umenifundisha zaidi ya hapa! Unajua kivipi???
Sredi yako niliiona kitambo tu, nikawa napuuzia tu (Nimezoea kuona sredi nyingi za watu ambao nawaona ni wageni hapa MMU zinakuwa kama wanajifunza uhusiano), na hata nilivyoifungua sikuisoma thread kuu, nikawa nasoma replies za members. Nilipoona reply za watu wanasikitika ndo niaamua nirudi sredi kuu.
Sifanyi tena hivi
 
Nisiseme kujisafisha, kweli simwambii kiasi hicho, na naamini anajua kabisa kua roho yangu inadundia pake.... Najua mwenyewe ni jinsi gani ya kumuonesha nampenda kila siku.... Konesha mapenzi ya kweli haiitaji maneno meengi - mimi my great strength ni vitendo nimfanyiavyo.... Hivyo hata ampate wa kumwambia kila siku sitishiki, najua actions speak louder than words....
True....maneno bila matendo hayana maana ila matendo bila maneno yanaweza kua kila kitu!!
 
True....maneno bila matendo hayana maana ila matendo bila maneno yanaweza kua kila kitu!!


I have to surrender dear, naona yamenishinda........ By the way the above is true......
 
Back
Top Bottom