Lest we forget, High Court Temporarily Blocks Hiring of Tanzanian Doctors

Mtu akae kwao, sisi kama wakenya tunataka trade ikue zero, na kila kitu abacho kinacho husiana na Tanzania kiishe alafu mwambie uyo dikteta ajenge ukuta kutoka namanga hadi lake Victoria muone kama maisha itaendelea juu hatuna uhusiano na Tanzania.
Punguza hasira sisi ni watani wa jadi
 
With Kenya's doctor to patient ratio 9.5 : 10,000
Tz doctor to patient ratio 1:20,000

Clearly who needs doctors more?? 😀😀
Acha ujinga, muulize Uhuru Kenyatta aliyetuma CS wa Afya kuja kuomba doctors wakati mnakufa kwa mamia kipindi cha mgomo wa madaktari, sasa wewe unatuuloza sisi, mbona huulizi pale mnapokuja kuomba chakula?
Kenya ranked as 'failed state'
 
Sasa kwa nini hiyo kampuni inafanya kazi Tanzania? Hao Watanzania unaowaita wavivu si ndio wateja wa Voda ama?

Faida mojawapo ya uwekezaji wa kigeni ni kutengeneza ajira kwa wazawa, kama wameamua kuajiri wageni watafute na wateja wa kigeni pia.
Kichaa huyo achana naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…