Let it shine: Movie ninayoweza kuitazama hata mara kumi

Let it shine: Movie ninayoweza kuitazama hata mara kumi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
1690562812041.jpeg
1690562837317.jpeg

1690562848977.jpeg
 
FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
View attachment 2701576View attachment 2701577
View attachment 2701578
Kuna kipande mrembo aliomba freestyl maneno yatayo mgusa, bishoo akapotea njia kabisa ila Truth akam bakapu, angeweza kumwacha aaibike... So good to be home ile nyimbo ilinivutia zaid.....
 
FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
View attachment 2701576View attachment 2701577
View attachment 2701578
Wewe umeitazama mara ngapi?
 
FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
View attachment 2701576
 
Wanaipenda sana madem hii movie.

Kuna manzi alikuja geto cha kwanza akaiulizia hii movie, nami kwa bahati nzuri nilikua nayo.
kuna watu huwa hatupend move za kashikashi mfano tafuta movie ya friend with benefits uione ukizizoe hizi movie hakika hutoziacha
 
kuna watu huwa hatupend move za kashikashi mfano tafuta movie ya friend with benefits uione ukizizoe hizi movie hakika hutoziacha
Hizo movie naangaliaga nikizikuta tu mahali ila huwa sizitafuti sio mpenzi wa hizi movie.

Ni nadra sana kukuta sisi tuliokua tunaangalia movie za mapigano kuja kupenda hizo drama.
 
Back
Top Bottom