Let it shine: Movie ninayoweza kuitazama hata mara kumi

Let it shine: Movie ninayoweza kuitazama hata mara kumi

FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
View attachment 2701576View attachment 2701577
View attachment 2701578
Mkuu nikusahihishe kidogo kuhusu hyo movie LET IT SHINES.

Huyo mwamba mtoto wa mchungaji Ni RAPPER anaflow vizuri Sana,,
Kuna siku dogo yupo kwenye studio moja anafanya mazoezi ya RAP.


Demu mmoja mkali anasikia SAUTI YA MTU ANAIMBA,,anaingia ndani kuona ni nani anaimba kiasi kile.

Kumbe kule ndani yupo huyo mtoto wa mchungaji na friend wake ambao wote kwa pamoja wanamzimikia huyo demu.,

Baada ya demu kuingia ndani mle akanitojeza Yule mwamba mwingine ambaye ndy very handsome akajieleza kwamba ndy yeye aliyekuwa RAPPER ,,
wakawa friends but no sex.

Dogo anapata shavu la kupaform ktk matamasha mbalimbali lakini kwa msaada wa Yule mtoto wa mchungaji..
Means Yule dogo akawa anaimba nyimbo za Yule mtoto wa mchungaji na sio zake.

Mwishowe demu anakuja kugunduwa kuwa mwenye sauti ile aliyoisikia siku ya kwnza Ni yule mtoto wa mchungaji na sio yule dogo handsome boy...

Demu anasema ,,

"I fall in love with your voice not your look."

Mtoto wa mchungaji anashinda game anachukuwa mtoto mzr.
 
Pindi niko chuo nilikuwa naipenda sana hii movie Kuna kipind ilifika yule dogo handsome akapata umaarufu had akawa anamdharau mshikaji wake anayemtengenezea nyimbo nakumfanya kuwa star Kuna siku Tyler James Williams alimkuta jamaa yake yuko club navidem akamtolea uvivu vurugu likawa kubwa had mzee mmoja akawaamua
 
FILAMU NILIYOITAZAMA ZAIDI YA MARA KUMI.
LET IT SHINE (2012)

Tyler James Williams, mtoto wa mchungaji, ndiye mhusika mkuu kwenye simulizi hii akiwa sambamba na Coco Jones.

Nilianza kumfahamu Tyler kwenye EVERYBODY HATES CHRISS na kufurahia uhusika wake.

Uchambuzi huu unamwangazia zaidi yeye kwa sababu ndiye mhusika aliyepewa jukumu linalonivutia zaidi kuliko wahusika wengine wote; uandishi wa nyimbo, uwezo mkubwa wa kurap, uwezo wa kufanya mitindo huru na uwezo wa kutengeneza midundo na kutayarisha nyimbo.

Nikitoa POETIC JUSTICE, 8 MILES, na GIRLFRIEND, hii ndiyo filamu bora kabisa kwangu inayoangazia muziki na panda- shuka zake.

Tyler ANATOA shavu kubwa sana kwa mwanaye tozi ambaye kazimikiwa na mchuchu kutokana na kisura chake "cha kike"

Ukitoa dhamira kubwa ya muziki na dini, filamu hii inafunza subira na umuhimu wa urafiki wa dhati.

Unafurahia kipande gani humu ndani??
Umeitazama mara ngapi??
View attachment 2701576View attachment 2701577
View attachment 2701578
Coco Jones ni mrembo sana
 
Back
Top Bottom