Pythagoras do you really believe in what you have written?Hivi kweli niamini kwamba huijui agenda ya vaccines.Hivi kweli niamini kwamba hujui watoto wachanga wanavyofia matumboni mwa mama zao hata kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kuzaliwa?Hivi niamini kwamba hujui akina mama wanavyoteseka na mauvimbe matumboni na cancers mbali mbali?Hivi kweli huoni watoto wetu walivyoharibika na wasivyo eleweka kabisa?Je, umeshajiuliza kwa nini?Kama hujawahi kujiuliza wewe ni zuzu,nyamaza usi-mislead wenzio.Pythagoras,it seems you are a loon,retard or you have a vested interest in vaccines,sisi wengine hatuna,kwa hiyo tutapiga vita vaccines kwa nguvu zetu zote, kwa kuwa ni hatari na hazifai kabisa kwa maisha na matumizi kwa wanadamu, hasa hii inayokuja ambayo ni mRNA vaccine.Ni ajabu kwamba unafumba macho hata huoni athari ambazo zineshawekwa wazi.
Nirudie wewe ni zuzu,loon,retard au una vested interest in vaccines.
Finally nikuambie wazi, mimi sichanji watoto wangu na wako vizuri kweli kweli.Wa kwanza amemaliza MSc.Degree na wadogo zake wana either also MSc degrees or BScs, na wa mwisho yuko Form VI na hawajawahi kupata any problem. Mine is a good example of the uselessness of vaccines!Mtu anayetaka kujifunza,kama kweli yuko serious aje kwangu.Vaccines ni utapeli wa Wazungu.