Let say hii nyimbo ya Darasa/#Mziki, ingukua ni ya WCB/Diamond plus ths December

Let say hii nyimbo ya Darasa/#Mziki, ingukua ni ya WCB/Diamond plus ths December

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Hakika naomba niweke ninaloliona juu ya Darasa. Mziki wake unampenda kuliko yeye anavyoupenda mziki.

Sioni akiupa promo ya kutosha mziki huu ulikonga nyimbo za watanzania na wapenda burudani wote. Namuita kizibo cha mwaka kwani sitarajii nyimbo nyingine nzuri zaidi ya hii mwaka 2016. Sielewi Darasa ni u big brother ndio unamfanya awe decent to that extent ama nini. Naona nyimbo yake inatumia Nguvu kubwa kujipromote kuliko yeye anavyoimpromote.

Nikasame Vip wazee wa fursa under Plantanumz, hii nyimbo ingekua yake/yao tungesikia show Nairobi/Kigali na sehemu nyingine za East Africa.

My take:
Darasa your the best in commercial Hip Hop ths year ..amka ..golden chance never come twice. Kumbuka watanzania ni wasahaulifu saana, use opportunity when its comes bro.

Ahsante.
 
Hakika naomba niweke ninaloliona juu ya Darasa. Mziki wake unampenda kuliko Yeye Anavyoupenda mziki .
Sioni akiupa promo ya kutosha Mziki huu ulikonga Nyimbo Za Watz na wapenda Burudani wote. Nauita Kizibo cha Mwaka kwani sitarajii nyimbo nyingine nzuri zaidi ya hii mwaka 2016.
Sielewi Darasa ni U Big brother ndio unamfanya awe decent to that extent ama nn. Naona Nyimbo yake inatumia Nguvu Kubwa kujipromote kuliko yeye anavyoimpromote.
Nikasame Vip wazee wa fursa under Plantanumz,hii nyimbo ingekua yake/yao ..tungesikia Show Nairobi / Kigali na Sehemu Nyingine Za East Africa.

My take:
Darasa Your the Best in Commercial Hip Hop ths Year ..amka ..Golden Chance Never Come Twice. Kumbuka Watz ni wasahaulifu saana , Use Opportunity when its comes Bro.

Ahsante .
Kuna mengi ya Kumuomba Mungu kabla ya kumuomba utajiri"-FA.
 
Huyu dogo ni game changer. .... sauti ya kiume zaidi live ,katafute refa wa kukubeba . ... unapigwa sasa hapa nilipo

Soo tired sasa kwa hizi sauti za wanaume km za kike in computerization
 
Hakika naomba niweke ninaloliona juu ya Darasa. Mziki wake unampenda kuliko Yeye Anavyoupenda mziki .
Sioni akiupa promo ya kutosha Mziki huu ulikonga Nyimbo Za Watz na wapenda Burudani wote. Nauita Kizibo cha Mwaka kwani sitarajii nyimbo nyingine nzuri zaidi ya hii mwaka 2016.
Sielewi Darasa ni U Big brother ndio unamfanya awe decent to that extent ama nn. Naona Nyimbo yake inatumia Nguvu Kubwa kujipromote kuliko yeye anavyoimpromote.
Nikasame Vip wazee wa fursa under Plantanumz,hii nyimbo ingekua yake/yao ..tungesikia Show Nairobi / Kigali na Sehemu Nyingine Za East Africa.

My take:
Darasa Your the Best in Commercial Hip Hop ths Year ..amka ..Golden Chance Never Come Twice. Kumbuka Watz ni wasahaulifu saana , Use Opportunity when its comes Bro.

Ahsante .
Team kiba wangeongea mpaka midomo ichanike....
 
Linah sanga aliona mbali zaidi akasema "mwanaume anaetaka kuzaa nae (baba mtoto) ni darasa.
-muziki ni nyimbo nzuri sana.
-sifa nyingine zimuendee ben pol kwa chorus nzuri katika hii nyimbo.

USHAURI: Darasa atengeneze nyimbo nyingine nzuri zaidi nyingi sana kipindi hiki kwa vile yupo hot hit, halafu atakuja kuzitoa kidogo kidogo hata kama ni kwa miaka mitatu mfululizo anadondosha vitu vikali tu kutoka store yake kama wanavyofanya wasanii wakubwa wa kimataifa.
 
1481392679253.png


1.2MILLION VIEWS.
 
Ben Paul kaimba simple na kwa sauti nzuri sana katika wimbo wa darasa
 
Ila wabongo ss kama wanawake malaya juzi juzi tu tulikuwa upnde wa billnass leo hii tushamsahau tumeamia kwa mr class ok lemme wait who's next
 
Sijakuelewa.

Kwa hiyo unataka kusema Darassa ili atoboe zaidi ajiunge WCB au wataka kusemaje?!
 
Huyu darasa yukoje na wimbo gani maana kila nikikatisha humu naona darasaaaa niwekeeni nyimbo please huku kwetu ni KBC radio tu.
 
Back
Top Bottom