"Let Them eat Cake" Marie Antoinette

"Let Them eat Cake" Marie Antoinette

King Octavian

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
403
Reaction score
353
Wana Jf na wana jukwaa kwa ujumla, katika pitapita zangu za makala za historia ya watu na mambo mbalimbali yaliyopata kutokea duniani, nilikutana na sentensi hiyo ambayo imehusishwa na tabaka tawala na tabaka tawaliwa, sijaielewa context ya ndani na habari hiyo hasa ipo vipi mpaka huyu malkia akaitamka maneno hayo, kulitokea nini na alikua anawaambia akina nani ambao walifanya nini...naomba kusaidiwa kuelewa [MENTION=95670]Kiranga/MENTION] Nyani Ngabu na wengine wote wenye idea
 
Last edited by a moderator:
The French revolution mwaka 1789....kulikuwa na crisi kubwa sana Ufaransa mwisho mwa karne ya 18 kiasi kwamba kulipekea njaa na matatizo mengine ya kiuchumia. Raia maskini wa Ufaransa waliandamana kwenda kwa mfalme Louis XVI kwenda kudai mikate kwa ajili ya chakula. Malkia Anttoinette alisimama ghorofani akiwachungulia waandamanaji. Akawaambia kwa kebehi kama hamna mikate kanunueni keki....Kiburi hiki toka kwa malkia ambaye kwa asili hakuwa mfaransa na Mama mwenye matumizi ya anasa kwa pesa ya walipa kodi yalisababisha mapinduzi ambayo mwisho wake Malkia na mfalme waliuawa kwa kuchinjwa mwaka 1792
 
The French revolution mwaka 1789....kulikuwa na crisi kubwa sana Ufaransa mwisho mwa karne ya 18 kiasi kwamba kulipekea njaa na matatizo mengine ya kiuchumia. Raia maskini wa Ufaransa waliandamana kwenda kwa mfalme Louis XVI kwenda kudai mikate kwa ajili ya chakula. Malkia Anttoinette alisimama ghorofani akiwachungulia waandamanaji. Akawaambia kwa kebehi kama hamna mikate kanunueni keki....Kiburi hiki toka kwa malkia ambaye kwa asili hakuwa mfaransa na Mama mwenye matumizi ya anasa kwa pesa ya walipa kodi yalisababisha mapinduzi ambayo mwisho wake Malkia na mfalme waliuawa kwa kuchinjwa mwaka 1792

Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom