Leta kısa chako hapa kılıchokutokea wakati ukiwa umelewa

Leta kısa chako hapa kılıchokutokea wakati ukiwa umelewa

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Mimi sasa iposiku nipo na wana wakizungu tupo simanjiro tukapiga vyombo castle by then zikaisha, safari, zikaisha pombe aina ya bia zikaisha tukaanza nyagi zikaisha tukalewa sasa kwenda kulala sinakaficha funguo za gari kilichonikuta nikasahau nilipoziweka!

Asubuhi nikihangaika hadi baa niliyokuwa nakunywa hangover sasa ilibidi niombe Nitumiwe ufunguo wa akiba kesho yake ila sasa nilipoenda kuvaa Viatu ndo nikaukuta nikajilaumu sana nikapiga simu home wasitume ufunguo tena😂😂😂 ila ukilewa usifiche kitu chochote labda uandike mahali

2. Nilikula pombe nikiwa nimelewa nikasema nifiche pesa katika gari wee mpaka gari nikauza laki mbili zangu sikuambulia nilitafuta hadi başı!!😂😂 Pombe noma sana
 
Baada ya kunywa pombe Kali mchnganyiko Ile nafika home nikaanza kumtongoza wife huku namwambia sijaoa. Niliendelea kumwagwa mistari akaniambia kuwa mkeo mbona na mjua anaitwa fln nikamwambia usisikilize ya watu. Akaona isiwe tabu akaniomba Hela mfukoni nilikuwa nimebaki na 70k nikampa yte sikumbuki vzr kilichoendelea ila nililala fofofo Hadi naamka ndo akiri inarudi nipo home kanitandikia godoro chini.

Alipoanza kunambia vile nilkuwa Nasema sikukubali hata kidogo kwanza nikamwambia nilkuwa sijaelewa hata kidogo ndio maana nilifika nyumbani Kwa Wakati bila kupotea
 
Mwaka jana kwenye chrissmas nililala rouge moja ivii sasa nilienda kununua via mana mbele ya hiyo RG Kuna bar wakati wakurudi nilisahau mlango nishavuka mlango mmoja nakuta jamaa anapiga pumbu kumbe hakufunga mlango uzuri yule jamaa anajuwa kwa kuniona ila hatuna mazoea akapoa mm nilipo ingia nilijuwa my wangu anapigwa miti nacheki kwenye meza sioni sm nikajuwa sio Nilitoka chapu huku naomba samahani nyingi ....ntamalizia kesho ila mmenielewa tungi kama tungi
 
Kuna siku nilikua Mikoani, kuna mdau akawa amekuja huo mkoa kikazi, akafikia ghetto yangu ilikua mjini kabisa, sasa huyo mwana ana mademu wako bank moja hivi hapo hapo mjini, akawaalika tukakaa sehemu usiku kwa bia moja moto moja baridi, Aisee, yule mshkaji akalewa wa kubeba kabisa na ile mizigo ikawa haina namna lazima walale ghetto ilikua mida mibovu saa kumi huko ya usiku

Aisee, kufika gettto tukamlaza mshikaji nikabaki na wale mademu beers zikaendelea sebuleni, mara mmoja akajitoa akili akaanza kunipa ma-romance, mara BJ, mara tukalana mzigo mbele ya mshikaji wake. Mwenzake akakimbilia chumbani kwa yule mlevi, nadhani baada ya muda akarudi tena ndani mchizi katapika balaa, . Hakuna jinsi, ikabidi nilale nao wote kitanda kimoja.

Niko zangu usingizini naona fujo nyingi, napewa tena BJ, this time naona flavor tofauti, mara naona kiungo changu cha uzazi kinazamishwa kwenye utelezi, mtoto anahangaika mpaka akakojoa, sasa ile kelele ya mkojo ikabidi nimuangalie, shabash kumbe ni yule demu mwingine.

Asubuhi, wale mademu wako smart sana, wakawahi kuamka wakaomba niwafungulie wakasepa, mchizi ameamka saa sita huko mchana ananiulizia niliwarudisha salama wale wachumba zake nikamwambia salama salmini.
 
Baada ya kunywa pombe Kali mchnganyiko Ile nafika home nikaanza kumtongoza wife huku namwambia sijaoa. Niliendelea kumwagwa mistari akaniambia kuwa mkeo mbona na mjua anaitwa fln nikamwambia usisikilize ya watu. Akaona isiwe tabu akaniomba Hela mfukoni nilikuwa nimebaki na 70k nikampa yte sikumbuki vzr kilichoendelea ila nililala fofofo Hadi naamka ndo akiri inarudi nipo home kanitandikia godoro chini.

Alipoanza kunambia vile nilkuwa Nasema sikukubali hata kidogo kwanza nikamwambia nilkuwa sijaelewa hata kidogo ndio maana nilifika nyumbani Kwa Wakati bila kupotea
Kuna mwamba humu alise.a mwanau.e hata ukifumwa live kataa kabisa kwamba sio kweli hahahahah
 
Baada ya kunywa pombe Kali mchnganyiko Ile nafika home nikaanza kumtongoza wife huku namwambia sijaoa. Niliendelea kumwagwa mistari akaniambia kuwa mkeo mbona na mjua anaitwa fln nikamwambia usisikilize ya watu. Akaona isiwe tabu akaniomba Hela mfukoni nilikuwa nimebaki na 70k nikampa yte sikumbuki vzr kilichoendelea ila nililala fofofo Hadi naamka ndo akiri inarudi nipo home kanitandikia godoro chini.

Alipoanza kunambia vile nilkuwa Nasema sikukubali hata kidogo kwanza nikamwambia nilkuwa sijaelewa hata kidogo ndio maana nilifika nyumbani Kwa Wakati bila kupotea
nyie walevi wa hivi ndio mnaopakwa mafuta
 
Hahaha nimekumbuka Dodoma enzi hizo nasoma chuo flani hivi .....kuna manzi nilikuwa namwelewaga kweliii ila kila nikimiga sound anasema tubaki marafiki ...kuna day nipo na one bar yule manzi akanipigia simu akaniuliza nipo wapi bila ya hiyana nikamwambia nipo bar naye akasema anakuja.....manza kaja kunywa mpaka night kali wote tupo tila tila nikamvuta yule demu lodge manaake ile bar ilikuwa na lodge pia .....hadi kulipia sijui nililipiaje ila tukajikuta tupo chumbani na demu anajishughulisha mwenyewe ......asubuhi namka m.b.oo imekauka na imechubuka kumbe alinifirisha aiseee toka hapo demu akawa ananikimbia kwa aibu manake nilikuwa namwona mstara
 
Back
Top Bottom