Leta kısa chako hapa kılıchokutokea wakati ukiwa umelewa

Leta kısa chako hapa kılıchokutokea wakati ukiwa umelewa

Mimi sasa iposiku nipo na wana wakizungu tupo simanjiro tukapiga vyombo castle by then zikaisha, safari, zikaisha pombe aina ya bia zikaisha tukaanza nyagi zikaisha tukalewa sasa kwenda kulala sinakaficha funguo za gari kilichonikuta nikasahau nilipoziweka!

Asubuhi nikihangaika hadi baa niliyokuwa nakunywa hangover sasa ilibidi niombe Nitumiwe ufunguo wa akiba kesho yake ila sasa nilipoenda kuvaa Viatu ndo nikaukuta nikajilaumu sana nikapiga simu home wasitume ufunguo tena😂😂😂 ila ukilewa usifiche kitu chochote labda uandike mahali

2. Nilikula pombe nikiwa nimelewa nikasema nifiche pesa katika gari wee mpaka gari nikauza laki mbili zangu sikuambulia nilitafuta hadi başı!!😂😂 Pombe noma sana
Tungi! Tungi, mmh nyie acheni tu, just imagine unamla mzazi wako! Jamani pombe sio
 
Sasa hii nikiwa na mwana Asprin tumelewa ukiwasha kiberti tunalipuka akapanda mtumbwi wa vibwengo nilikuwa na CELICA SPORT alipiga ukunga kitu iliivishwa kutoka mbezi kuja kufika Kinondoni moto wake mhm kesho yake nikaona ulevi noma
 
Mwaka jana kwenye chrissmas nililala rouge moja ivii sasa nilienda kununua via mana mbele ya hiyo RG Kuna bar wakati wakurudi nilisahau mlango nishavuka mlango mmoja nakuta jamaa anapiga pumbu kumbe hakufunga mlango uzuri yule jamaa anajuwa kwa kuniona ila hatuna mazoea akapoa mm nilipo ingia nilijuwa my wangu anapigwa miti nacheki kwenye meza sioni sm nikajuwa sio Nilitoka chapu huku naomba samahani nyingi ....ntamalizia kesho ila mmenielewa tungi kama tungi
😂😂😂😂🙌🏾
 
Pombe ni nzuri ukiwa unazinywa ila ukizidisha kesho Yako majuto tu.
 
Back
Top Bottom