umebobea kwenye magonjwa Gani kwanza Ili nikutajie Kwa uhuru.Ni nini?
Gonno ama fangasi za mbupuni?
Muone 😃😃😃🙌hili nalo tulitazame😂
kwanini huna mchumba?😂 Hela ya kukusomesha itarudije?Muone 😃😃😃🙌
Hahah😂😂😂...nilishawarudishia hawanidai😃😃kwanini huna mchumba?😂 Hela ya kukusomesha itarudije?
Basi usini blockBlock labda aonekane kama msumbufu
Khaa ulivyomkazania mwenzio embu muache😂😂nakuambia Tena Acha tamaa.
Aisee, hongera.Kuwa single sio shida
Kwanini furaha yako itokee kwenye mahusiano? Kwamba yasipokuwepo unabaki na mood mbovu 24/7!!?
Hapa nilipo natafuta namna ya kumuacha mtu nakosa 😂😂
🤣🤣🤣Delete kila kinachomuhusu 😂😂
Kuna mtu nilidelete mpaka namba. Siku nikammiss, weee si nikaenda tafuta namba zake katika sms za M pesa alizokuwa ananitumia hela 😂😂🙌
Aisee,Hunaje?? Hata kama hakuwaga na ustaarabu wa kupiga picha, hapa atapiga! Na atanitumia, nitaziacha hapo kwa chatting. Nikimmiss namzoom. Tukigombana nafuta chats na mapicha yake yanapotea 😂😂
Eeh mwenzangu. Nikamtafuta tukapiga kitu cha rewind 🤣🤣
Una umri gani? Utavumilia tu.4yrs? Hongera 😂😂🙌
Siwezi vumilia matukio ndani ya miezi 6… mpaka kuna muda najiuliza nitaweza kweli mambo ya for better for worse, until death do us apart 🙌
🤣🤣mi sitii neno ila ukimtoa mtu kwenye maisha yako mtoe jumla usimbakize, wakazi gani kwenye status?
😂😂😀Nimeolewa lakini sio kivileee😊😊
au nasema uongo mkuu?
🤣au nasema uongo mkuu?
Mambo ephen
Poa mchina! Jisikie upo nyumbani😂Mambo ephen
Asante sana , nikaribishe na ngoma moja kali basi😊Poa mchina! Jisikie upo nyumbani😂