Kwahio unagawa Kwa utaratibu Gani niufuate?Pole sana,, maana sigawagi hela hovyo😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio unagawa Kwa utaratibu Gani niufuate?Pole sana,, maana sigawagi hela hovyo😃😃
tafuta zako😃😃Kwahio unagawa Kwa utaratibu Gani niufuate?
zinznitosheleza mie tumadam naomba unipe basi ninashida na elfu kumi tuu pleas😪
nigaie kidogo mwenzio sina hata mia nanjaa inauma pleas👏zinznitosheleza mie tu
daa.naomba kazi basii😪😪tafuta zako😃😃
Basi bado unampendaHuu ni ukatili 😂
kwahio dadangu sikuzakatikati yawiki Mechi Hamna🤔Tuendelee kuchat Vishu Mtata
yeyé akirudi wewe unaondoka.mechi mnachezaje hapo😉Mechi zipo,nipo nae kila siku baada ya kazi 🙄
hili nalo tulitazame😂Tatizo bado sijapata mtu serious wa kupendana naye...nikimpata tu nasepa zangu shwaaaa😂😂
😂😂😂Delete kila kinachomuhusu 😂😂
Kuna mtu nilidelete mpaka namba. Siku nikammiss, weee si nikaenda tafuta namba zake katika sms za M pesa alizokuwa ananitumia hela 😂😂🙌
HahahahaMechi zipo,nipo nae kila siku baada ya kazi 🙄
sijui ofisi Yako mkuu.Kwa hiyo night shifts ni daily sio? Monday-friday?
samahani mkuu wewe ni daktari?Kwa hiyo night shifts ni daily sio? Monday-friday?
HahahahahahaNdio mkuu
Ama naweza kuwa mlinzi
Kuna ugonjwa unanisumbua sana.sijui unaaidia Nao au unajua kuutibu?Ndio mkuu
Ama naweza kuwa mlinzi