Let's chat

Let's chat

Usichukulie maisha serious mdogo wangu...tuko hapa kuchat😃😃😃😃
najua tunachat ila naomba uzingatie nilicho kuambia.

wee unatakiwa uwakubalie vijana wanaokutongoza hao ndio watakuoa japo vitu unavyo tamañi hawana Bado ila jua hata hao wazee unaodat Nao hivyo vitu wamevipata nafamilia zao tayali
 
najua tunachat ila naomba uzingatie nilicho kuambia.

wee unatakiwa uwakubalie vijana wanaokutongoza hao ndio watakuoa japo vitu unavyo tamañi hawana Bado ila jua hata hao wazee unaodat Nao hivyo vitu wamevipata nafamilia zao tayali
Unateseka ukiwa wapi😂😂😂😂...kunywa maji baridi😃😃
 
wala siteseki niña wake wahalali 3 labda nimalizie nawewe unae zagaa zagaa kama mira wakona🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Sina shida na mahusiano mimi😃😂😂😂🙌
 
niña miaka 37 Niko kwenye ndoa na wake 3 niña maisha Safi yakulisha na kutunza hata warembo mía.

SEMA dini yangu inaruhusu wake wanne tuu karibu ufunge ukurasa bibie.
Asa kama hivyo si bora nibaki nilipo niendelee kumsubiri wangu🤗🤗
 
Back
Top Bottom