Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo siku utamhurumia, anachofeli ni kuendelea kukutafuta nonstop, siku akiacha ikapita muda mrefu bila kuonesha kukujali utammisi tu, bado mnapendana ndio maana hata namba zake unazo.anatamani ajue ni nani kanizindua nani natoka naye ila ndyo too late na simblock anateseka kuview status akituma sms hajibiwi wala call sipokei tuish humo khaaa
naomba wakijaa jaaa mashambulizi nianzie kwako.usiniblok tuu😕Subiri kidogo wajae jae
utapinga na wengi watapinga ila hii inawakuta wengi sana kwenye mahusiano, akili inataka umsahau ila moyo unagoma kabisa, unajiapiza leo ni mwisho siangaiki nae ila mwisho wa siku moyo unakunong'oneza "ntakuua mbwa wewe mtafute utakuwa sawa" 😂 😂Jamani 😂😂😂
haiwezi kutokea moyo umeshaingia nyongo...imebaki story kuna mambo ameyafanya ambayo hawezi kuyabadilisha tenaipo siku utamhurumia, anachofeli ni kuendelea kukutafuta nonstop, siku akiacha ikapita muda mrefu bila kuonesha kukujali utammisi tu, bado mnapendana ndio maana hata namba zake unazo.
SawaYako good sasa pole ya nini
JF ukiandika kitu kuhusu jambo fulani lazima uweke kwenye hilo jambo,ukitetea single mamas na wewe unawekwa kwenye usinge mamas,ukitetea wachagga na wewe unakuwa mchagga 😂😂😂
utapinga na wengi watapinga ila hii inawakuta wengi sana kwenye mahusiano, akili inataka umsahau ila moyo unagoma kabisa, unajiapiza leo ni mwisho siangaiki nae ila mwisho wa siku moyo unakunong'oneza "ntakuua mbwa wewe mtafute utakuwa sawa" 😂 😂
Imeisha hiyo
Nijibu na kule basi
wapi huko mkuu.mana mambo mengi?Imeisha hiyo
Nijibu na kule basi
mi sitii neno ila ukimtoa mtu kwenye maisha yako mtoe jumla usimbakize, wakazi gani kwenye status?haiwezi kutokea moyo umeshaingia nyongo...imebaki story kuna mambo ameyafanya ambayo hawezi kuyabadilisha tena
kinachomfanya anitafute ni kuna baadhi ya stuffs nilikuwa main character, bussiness zake,baadhi ya properties zake nilikuwa nasimamia mimi mpaka mishahara nilikuwa nalipa mimi..documents za baadhi ya vitu nilikuwa mimi ndyo main person sasa nmesharudisha vitu vyote halafu vinamshinda huko lazima anitafuteipo siku utamhurumia, anachofeli ni kuendelea kukutafuta nonstop, siku akiacha ikapita muda mrefu bila kuonesha kukujali utammisi tu, bado mnapendana ndio maana hata namba zake unazo.
kwahiyo sahivi uko sawa? uliweza vuka salama?Hata mimi ilishanikuta na nikaweka uzi hapa,sikujikataa
mtego uo ipo siku utakufyatukiakinachomfanya anitafute ni kuna baadhi ya stuffs nilikuwa main character, bussiness zake,baadhi ya properties zake nilikuwa nasimamia mimi mpaka mishahara nilikuwa nalipa mimi..documents za baadhi ya vitu nilikuwa mimi ndyo main person sasa nmesharudisha vitu vyote halafu vinamshinda huko lazima anitafute
Una uhakika halina week 🤣😂😂😂
Husiano halina hata week inataka kuacha kuhusiana nalo
Khaaaaa😂😂😂
SO saivi kazi hunaðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£kinachomfanya anitafute ni kuna baadhi ya stuffs nilikuwa main character, bussiness zake,baadhi ya properties zake nilikuwa nasimamia mimi mpaka mishahara nilikuwa nalipa mimi..documents za baadhi ya vitu nilikuwa mimi ndyo main person sasa nmesharudisha vitu vyote halafu vinamshinda huko lazima anitafute
sio kwamba alikuwa ameniajiri yeye...nina kazi yangu na hizo vitu nilikuwa nasimamia fresh tu hapa nipo kaziniSO saivi kazi hunaðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£
😂 😂 kwahiyo kila wiki anakaribisha wazabuni wapya?😂😂😂
Husiano halina hata week inataka kuacha kuhusiana nalo
Khaaaaa😂😂😂