Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema limebaki kovu moyoni 😂 😂Yeap!Mungu ni mwema kwa sasa imebaki history
Sasa wewe ilikuwa unajigawaje?Hadi kuweka kufanya kazi mbili?sio kwamba alikuwa ameniajiri yeye...nina kazi yangu na hizo vitu nilikuwa nasimamia fresh tu hapa nipo kazini
nimependa unavyobadili mambo, haya ni history sio kovu 😂Kovu halipo,ni history bhana wewe 😅
Nilikuwa kama yeye mwisho wa siku nimenasa kwenye tundu bovu hadi muda huu siamini.Bado hujakutana na unaempenda mkuu
Upendo haujawahi kuisha wala kupungua tunapendana sana tu..sema tu ndo hivyo kuna mda natakiwa niwe na mahusiano yangu pekeyangu yeye hataki😃😃😃Unamuacha kwasababu ana shida ama ni wewe upendo umepungua?
SEMA shida mnapishana mlangoni Sasa huyu arejea kutoka kazini yule ndio Anatoka kwenda kazini.Yeap!Mungu ni mwema kwa sasa imebaki history
Upendo haujawahi kuisha wala kupungua tunapendana sana tu..sema tu ndo hivyo kuna mda natakiwa niwe na mahusiano yangu pekeyangu yeye hataki😃😃😃
achana namume wamtu dogo Acha tamaaUpendo haujawahi kuisha wala kupungua tunapendana sana tu..sema tu ndo hivyo kuna mda natakiwa niwe na mahusiano yangu pekeyangu yeye hataki😃😃😃
Usichukulie maisha serious mdogo wangu...tuko hapa kuchat😃😃😃😃achana namume wamtu dogo Acha tamaa
Tatizo bado sijapata mtu serious wa kupendana naye...nikimpata tu nasepa zangu shwaaaa😂😂Pole sana
Hope utabaki na amani muda utakaoamua kumuacha
Joanah kasema nature inasema eti Ukitoka ndio utampata.Tatizo bado sijapata mtu serious wa kupendana naye...nikimpata tu nasepa zangu shwaaaa😂😂
Nisije nikamuacha halafu nikatamani kurudi weee😂😂😂Joanah kasema nature inasema eti Ukitoka ndio utampata.
usikariri maisha..sie wengine ni mult taskSasa wewe ilikuwa unajigawaje?Hadi kuweka kufanya kazi mbili?
au hujaajiliwa serikalini?
Hapo nakubaliana na wewe 😃😃Yeah, usiache mutu kabla hujapata mutu 🤣🤣