Asante sana , nikaribishe na ngoma moja kali basi😊
Ukimuona Vincenzo Jr msalimie, mimi naenda shamba kupanda viaziNgoma tamu sana
Nitaisikiliza nikirudi
Mimi ndio najigeuza nilale vizuri🤣🤣Ukimuona Vincenzo Jr msalimie, mimi naenda shamba kupanda viazi
nyimbo nzuri...😉Hello good people,mko poa?
Mie niko poa
Niko bored hapa,sina usingizi kusema nilale sasa hivi
Kazini naingia night shift na babe yuko zake job....let's chat
Kwa wale mlio kwenye mahusiano yasio sahihi kwa sababu zozote zile labda umbali,mume/mke wa mtu,dini&umri(japo hivi sio changamoto sana),uhuni wa partner wako,ugomvi wa kila siku na mengine mengi lakini deep down unajua kwamba umekamatika/umependa kweli na unajua unatakiwa kulet go...ni kwa namna/njia gani unajaribu/ulijaribu kujitoa?
Kwa waliofanikiwa kujitoa mlitumia mbinu zipi ili wengine wapate pa kuanzia
View: https://youtu.be/wfTC2o05OEw?feature=shared
Zimefika amigoUkimuona Vincenzo Jr msalimie, mimi naenda shamba kupanda viazi
Nimependa hapo "Our dreams are young and we both know, They'll take us where we want to go, I don't want to live without you"🙌
Umepapendea nini😁😁😁Nimependa hapo "Our dreams are young and we both know, They'll take us where we want to go, I don't want to live without you"🙌
Imenikumbusha mpenzi wangu😂Umepapendea nini😁😁😁
😄😄HongeraImenikumbusha mpenzi wangu😂
Leo nipo busybusy ndio maana! Baadae utaniambia nini kinakuuma😂
Nimeisikiliza ina ujumbe mzuri☺️
Ehh kijiwe kipya kipo huku?!!