Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Kabisaaaa...usijichosheee😂😂🤣🤣🤣 Halafu kweli kuna kazi nataka niifanye hapa.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaaa...usijichosheee😂😂🤣🤣🤣 Halafu kweli kuna kazi nataka niifanye hapa.!
Unaitikia hivi Je m'appelle ephen nakupa darasa hapo 😎😎Wewe la nini?🤔
Nikajua unataka jina langu la ukweli! Nilitaka nianze kukupiga maweUnaitikia hivi Je m'appelle ephen nakupa darasa hapo 😎😎
😁😂😁😁Ningelia sanaNikajua unataka jina langu la ukweli! Nilitaka nianze kukupiga mawe
Huwa unalia kweli?😁😂😁😁Ningelia sana
Ndio ndio na nipo kifungoni kwa sasa nazidi kulia Mimi 😭😭😭😭😭Huwa unalia kweli?
Ndio vizuri! Ulikua umechachamaa sanaa bora sasa utulie😂Ndio ndio na nipo kifungoni kwa sasa nazidi kulia Mimi 😭😭😭😭😭
Nipo chini ya ulinzi saivi 🙄Ndio vizuri! Ulikua umechachamaa sanaa bora sasa utulie😂
😂😂😂😂 hivi jana ulilala kweli?Nipo chini ya ulinzi saivi 🙄
Nilikaa hadi saa 6 nikatizama series kalii ya kuitwa mayor of Kingston😂😂😂😂 hivi jana ulilala kweli?
Hii nzuri sna mkuuNilikaa hadi saa 6 nikatizama series kalii ya kuitwa mayor of Kingston
Sawa tajiri😂😂Nilikaa hadi saa 6 nikatizama series kalii ya kuitwa mayor of Kingston
Ndio ndio 😎 nipo season 3 sasaHii nzuri sna mkuu
Situmii bando natumia unlimited wifi 😎😎😎enzo akee ukiwaga na bundle huwa nakukoma🙌 hii nitasikiliza kesho
Unailipia kila mwezi, unatumia na naniSitumii bando natumia unlimited wifi 😎😎😎
Tupo watu 6 tunalipia voda laki na 15Unailipia kila mwezi, unatumia na nani
Kwenye jumba lako unakaa na familia ya watu 6, kwani umeoa?Tupo watu 6 tunalipia voda laki na 15