LET'S GO SWIMMING

LET'S GO SWIMMING

manengelo Nikupitie😂😂
shoga..niliwah kwenda beach..nikakutana na mkaka.kama huyu...akasema anifundishe kuogelea ingawa nnajua kidg tumefika kina kikali mwenzangu kadisa zaman sana...ufukweni wapo wanangu na dada😂😂😂...yaan sitak kbs.. nikamwambia nirudishe najisikia pumu inakuja😂😂 hapo dudu lote linanichoma choma mgongoni😊😏😏😏..sitak bibi weee nenda unipe mrejesho😂😂
 
shoga..niliwah kwenda beach..nikakutana na mkaka.kama huyu...akasema anifundishe kuogelea ingawa nnajua kidg tumefika kina kikali mwenzangu kadisa zaman sana...ufukweni wapo wanangu na dada[emoji23][emoji23][emoji23]...yaan sitak kbs.. nikamwambia nirudishe najisikia pumu inakuja[emoji23][emoji23] hapo dudu lote linanichoma choma mgongoni[emoji4][emoji57][emoji57][emoji57]..sitak bibi weee nenda unipe mrejesho[emoji23][emoji23]
Poleee mkuu kwa yaliyokukuta....nadhani ulikubali kufundishwa na mabeach boy...tena baharini wale hawana cha kupoteza wako tayari kujitoa muhanga kwa ajiri ya kubambia tu wanawake kwenye maji baharini.

Hii ni spesho offer (kampani) kwa only interested friends wa Jamiiforums inafanyika mahali salama kabisa...Kariibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shoga..niliwah kwenda beach..nikakutana na mkaka.kama huyu...akasema anifundishe kuogelea ingawa nnajua kidg tumefika kina kikali mwenzangu kadisa zaman sana...ufukweni wapo wanangu na dada😂😂😂...yaan sitak kbs.. nikamwambia nirudishe najisikia pumu inakuja😂😂 hapo dudu lote linanichoma choma mgongoni😊😏😏😏..sitak bibi weee nenda unipe mrejesho😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂asee wahuni sio watu wazuri .
 
Poleee mkuu kwa yaliyokukuta....nadhani ulikubali kufundishwa na mabeach boy...tena baharini wale hawana cha kupoteza wako tayari kujitoa muhanga kwa ajiri ya kubambia tu wanawake kwenye maji baharini.

Hii ni spesho offer (kampani) kwa only interested friends wa Jamiiforums inafanyika mahali salama kabisa...Kariibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Special offer au sio..... Ikija part two yake nishhtue
 
mie ninazo [emoji23][emoji23] nikivaa nadamshi[emoji23]sema kina kirefu siwez
Una raha. Nimemuagiza rafiki yangu China zile za kuficha kitambi sijui zinafika lini na mwisho wa mwezi tuna pool party na rafiki zangu [emoji24][emoji24][emoji24].
Ningekua sio mvivu ningeenda mtaani kutafuta nikakae kwenye maji saa hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fca3edf6a69e1a4fba6b63067f8d7f1a.jpg


Tupo hapa
 
Una raha. Nimemuagiza rafiki yangu China zile za kuficha kitambi sijui zinafika lini na mwisho wa mwezi tuna pool party na rafiki zangu [emoji24][emoji24][emoji24].
Ningekua sio mvivu ningeenda mtaani kutafuta nikakae kwenye maji saa hizi

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂 tafuta ile mitandio...unavaa na bra nyeusi unatoka tu mbon...
 
Back
Top Bottom