Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Onyesha picha wewe acha ngonjera mbona huko mna mapicha mengi tu na mbavu 2 zenu hata North korea nao picha wanazo hizo hadithi zenu mkapigiane kwenye hivyo vijiwe vyenu vya kupotezea njaapicha haimaanishi chochote, data msema kweli. wewe leta data kuwa nilicho 'posti' si ukweli ama uweke data ya kukanusha mada!
Tanzania ni kama North Korea. watu North Korea wana hali mbaya lakini nionyeshe picha.
Tz ukiwa na njaa ni uzembe wako tu ila kwa hao wa huko njaa kwao ni kama kiapo cha ndoa ya kikristo hakuna cha kuwatenganishaukiwa na njaa tz yaan wewe sijui usaidiweje aisee..
Wewe huna Akili kabisa hii ripoti ya lini? Na lini umesikia Tanzania wana nchi wanakufa kwa njaa zaidi ya maneno ya wanasiasa kutafuta hurumaon this forum, after the every 2 comments on any topic, a stupid tanzanian will scream how they feed us Kenyans and how they are food self sufficient.
But the fact of the matter is that tz is pyongyang(North Korea) where press freedom is like cancer and therefore any news that would potray the government and country in bad light is killed and the source made to disappear.
The fact of the matter is, the real tz is hungry! according to independent research published by reuters 78% of people had suffered food shortages when the survey was carried out in 2017(in urban areas like (Dar is a slum) and 84% in rural areas like chato.
View attachment 768481
View attachment 768483 View attachment 768487 View attachment 768488 View attachment 768489 View attachment 768490
fyi Kenya suffers from acute food shortages from time to time due to draught and the fact that only 30% of the land mass is arable. But the fact that the above survey found that 78% of tz urban dwellers suffered food shortages(another word for hunger) is truly unbelievable!
***tz propaganda machine, please go thru' the report before muanze kutoa povu hapa. and please remember, this is not about Kenya!
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials
Study: Most of the Tanzanian population faces real hunger
aisee, naona viboko pale ikulu vimefanya kazi!Wewe huna Akili kabisa hii ripoti ya lini? Na lini umesikia Tanzania wana nchi wanakufa kwa njaa zaidi ya maneno ya wanasiasa kutafuta huruma
Ushasikia kuwa Tanzania wameomba msaada kwa ajili ya njaa au kununua chakula sababu ya upungufu wa chakula ?
Acha ukilaza
Hizo taarifa za mwaka gani?aisee, naona viboko pale ikulu vimefanya kazi!
utafiti na source nimekuwekea kwahivyo pambana na hali yako! serekali ya 'pyongyang' imezoea kuficha data na kuwapoteza watafiti na wanahabari. hivi karibuni tuta discover mass graves tz.
4.2 million urban dwellers suffer from hunger!
Nyinyi mnaoachia data zimewashibisha hizo .....mpelekeeni uhuru bange huko ikulu labda atawapa vi unga mpitishe sikuaisee, naona viboko pale ikulu vimefanya kazi!
utafiti na source nimekuwekea kwahivyo pambana na hali yako! serekali ya 'pyongyang' imezoea kuficha data na kuwapoteza watafiti na wanahabari. hivi karibuni tuta discover mass graves tz.
4.2 million urban dwellers suffer from hunger!
Waambieni hao mabwana zenu waongeze articles nyingine ili wajisomee wenyewe kuongeza upeo wa ubolizozo waoWHY MAGUFULI HAS BANNED RELIEF FOOD FOR STARVING TANZANIANS
Why Magufuli has banned relief food for 'starving' Tanzanians - Nairobi News
Apart from muzzling the media,intimidation of civil servants not to expose the starvation is rife.
1. Picha munazoquote zingine ni za Somalia na Ethiopia, zingine za refugee camp.Onyesha picha wewe acha ngonjera mbona huko mna mapicha mengi tu na mbavu 2 zenu hata North korea nao picha wanazo hizo hadithi zenu mkapigiane kwenye hivyo vijiwe vyenu vya kupotezea njaa
Kenya lini wakaomba msaada?Wewe huna Akili kabisa hii ripoti ya lini? Na lini umesikia Tanzania wana nchi wanakufa kwa njaa zaidi ya maneno ya wanasiasa kutafuta huruma
Ushasikia kuwa Tanzania wameomba msaada kwa ajili ya njaa au kununua chakula sababu ya upungufu wa chakula ?
Acha ukilaza
Bado wanasema hakuna njaa.WHY MAGUFULI HAS BANNED RELIEF FOOD FOR STARVING TANZANIANS
Why Magufuli has banned relief food for 'starving' Tanzanians - Nairobi News
Apart from muzzling the media,intimidation of civil servants not to expose the starvation is rife.
Leta uthibitisho acha kubwabwaja mbona inasemekana zinakua nyingi kidume acha maneno ya hivo achia wadada sema kitu leta proof baasi kama nikisema Wakenya wakiume wanapenda kuolewa na kubaka mbuzi hii sio inasemekana hii ni ukweli mtupu sasa wewe acha hizo inasemekana leta vitu vya uhakika1. Picha munazoquote zingine ni za Somalia na Ethiopia, zingine za refugee camp.
2. Inaeleweka Tanzania kawaida huwa kwenye denial hata reports zinasema hivo. Inaeleweka kuna video za muziki zimekuwa banned kwa kuonyesha umaskini wa Tanzania na hata hamruhusiwi kupost photo za umaskini mitandaoni. Meanwhile in Kenya wananchi huchukua jukumu la kupost umaskini wote wa nchi mitandaoni ndio serikali ichangamke. Hiyo ndio tofauti ya Kenya na tz.
Bado wanasema hakuna njaa.
Ka article kenu ka uchwara mkaandike wenyewe mkasapot wenyewe kakawekeeni kabisa na kipindi cha tv au hadi mabwana zenu wawape tena pesa ya unga ndo mtafanya hivoBado wanasema hakuna njaa.
very soon tutafichua mass graves. yaani 4.2 million urban dwellers suffer from hunger. I can bet my 2 crystal balls kuna mass graves huko.Wanatishwa vikali na Magu! Vyombo vya habari vifungwe na civil servants kufutwa wakijaribu kufichua njaa ya Tz!
Huko mnafumuliwa tu kwenye ardhi yenu mabwana zenu wanawaacha bila hata mashamba mfe njaa kama mbwa koko.... huko hamtishwi mnafanywa kabisaWanatishwa vikali na Magu! Vyombo vya habari vifungwe na civil servants kufutwa wakijaribu kufichua njaa ya Tz!