Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mnahangaika kufichua kwani mmeshapalilia hapo kibera mana hilo ni kaburi la mda mrefu sanavery soon tutafichua mass graves. yaani 4.2 million urban dwellers suffer from hunger. I can bet my 2 crystal balls kuna mass graves huko.
Pambana na unga wa punguzo
Pambana na unga wa punguzo
Leta uthibitisho acha kubwabwaja mbona inasemekana zinakua nyingi kidume acha maneno ya hivo achia wadada sema kitu leta proof baasi kama nikisema Wakenya wakiume wanapenda kuolewa na kubaka mbuzi hii sio inasemekana hii ni ukweli mtupu sasa wewe acha hizo inasemekana leta vitu vya uhakika
Husomi hapo wengi hawana kias cha kutosha ila sio kwamba hawana kabisa kama huko na hio ilitokea sababu ya hali ya hewa tu ila huko kwenu njaa na mkenya ni ndugu wakuzikana[HASHTAG]#therealtanzania[/HASHTAG]
Study: Most of the Tanzanian population faces real hunger
Ingekua balaaa ungekuwepo hapa hili ndo jumba linawakutanisha binadamu wote wa Afrika mashariki na kondoo kadhaa wa huko Kenya hapa ndo mtakujaNi vile Kenya kunao uhuru wa kujieleza na kuandika habari! Tunayo pia "citizen's journalism"ambapo yeyote yule kupitia mitandao
ya kijamii au popote anaweza andika habari sahihi na kung'amuliwa na vyombo vikuu na habari kuenea! Huko kwenu Tz balaa!
Husomi hapo wengi hawana kias cha kutosha ila sio kwamba hawana kabisa kama huko na hio ilitokea sababu ya hali ya hewa tu ila huko kwenu njaa na mkenya ni ndugu wakuzikana
Number of Kenyans going hungry doubles to three million
Na mlivyokua mabwege mkipata vinguvu kidogo vya unga wa msaada badala mkalime mnaenda kubaka wanyamaView attachment 768870
View attachment 768872
data braza inasema kuwa 4.2 million urban dwellers in tz suffer from hunger. miji ya tz watu wanao umia njaa wamezidi idadi yote kenya. huko mashinani kama chato, idadi inaongezeka hadi 84%. sijui nikuchemshie hii data unywe kama supu ndio uelewe...
data zinasema wewe na wenzako 4.2million hapo Dar mnaugua njaa. hivi umetia kitu ndani leo?? ikubali hali yako usaidike.View attachment 768881 View attachment 768881 View attachment 768881 data zinasema hawana chakula cha kutosha hazisemi hawana wakati huko hamna kabisaa mnaishia kufyonza magundi tu kupitisha siku
data zinasema wewe na wenzako 4.2million hapo Dar mnaugua njaa. hivi umetia kitu ndani leo?? ikubali hali yako usaidike.
Wameona unaleta uharo tu humu huna hoja ya maanamoto umezidi pale ikulu, mpaka sasa kuna watu wamezima simu zao. thread za YoungD ni moto wa kuotea mbali.
View attachment 768919
Ujue wewe huna akili yani ni mbumbumbu.. There's no shortage of food in Tanzania labda useme wanakaa njaa kwa kutokua na hela ya kununua chakula na Daressalaam ni Urban na hakuna mashamba, and why talking about Dar alone and not Tanzania as a whole??? In Kenya the case is quite different. Kenya yote urban and Rural kuna njaa, hakuna chakula..And never will Kenya produce Enough food for herself, ni lazima mnunue.. Sisi tunajitosheleza kwa vyakula vyote the problem comes to the purchasing power of an individual especially to the urban residents...nilikuambia recycled photos hazitakusaidia. now let's do the math....
Dar has a population of 5.29 million 78% of them suffer from hunger.
5,290,000x78%= 4,126,200 😱
yaani naweza kuwa na argue na mtu ambaye hajala chochote siku mbili.
Hehehe Magufuli mtamsema sana lakini Kamba iko pale pale.. Hakuna msamaha na MKENYA.. Na tunamuongeza muda akitoka madarakani[emoji23][emoji23][emoji23]WHY MAGUFULI HAS BANNED RELIEF FOOD FOR STARVING TANZANIANS
Why Magufuli has banned relief food for 'starving' Tanzanians - Nairobi News
Apart from muzzling the media,intimidation of civil servants not to expose the starvation is rife.
Inaeleweka na nani, weka source hapa ya hicho kinachoeleweka1. Picha munazoquote zingine ni za Somalia na Ethiopia, zingine za refugee camp.
2. Inaeleweka Tanzania kawaida huwa kwenye denial hata reports zinasema hivo. Inaeleweka kuna video za muziki zimekuwa banned kwa kuonyesha umaskini wa Tanzania na hata hamruhusiwi kupost photo za umaskini mitandaoni. Meanwhile in Kenya wananchi huchukua jukumu la kupost umaskini wote wa nchi mitandaoni ndio serikali ichangamke. Hiyo ndio tofauti ya Kenya na tz.
Hehehe Magufuli mtamsema sana lakini Kamba iko pale pale.. Hakuna msamaha na MKENYA.. Na tunamuongeza muda akitoka madarakani[emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sijapata muda hata wa kufungua maana ripoti ikiandikwa Nairobi najua ni TRASHSoma ripoti kwa makini na uelewe! Ama ni Kiingereza kigumu?