Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
It is too late now, lets wait for Zitto Kabwe in 2015
I dont believe this!!! Hiyo ndio solution yako kwa tatizo hili!!
Na ikifanyika hivyo hivyo 2015 utasema tusubiri 2020???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is too late now, lets wait for Zitto Kabwe in 2015
Minatamani nchi ilipuke kwa vita hii
Katiba ilibadilishwa ili aendelee kuiongoza Tume. Ujue jinsi ambavyo amekuwa anawatumikia watu hawa tokea mwaka 1993.Huyu kenge sijui aliiba mitihani judge wa wapi hajui sheria na anakuwa mwoga ,mshenzi sana anatetemeka temeka nini njia ya mwongo ni fupi sana! Dr kushinda tulijua isingewezekana angeshinda huyu Mshikaji KJ lakini suala la matokeo ya sehemu alizoshinda Slaa kuchelewa kutangazwa makusudi na kumweka Dr Slaa wa tatu nyuma ya Lipumba ni ufisadi ubinafsi na unyama wa hali ya Juu, Bwana Mungu ni mtu wa haki hakika haki haitapotea , shindwa shetani NEC na malaika zake CCM
Mwinyi alichapwa kibao hadharani, huyu anastahili kuchapwa viboko 12 mbele ya mkewe !!!
I dont believe this!!! Hiyo ndio solution yako kwa tatizo hili!!
Na ikifanyika hivyo hivyo 2015 utasema tusubiri 2020???
mwinyi alichapwa kibao hadharani, huyu anastahili kuchapwa viboko 12 mbele ya mkewe !!!
Mkuu kigogo, upo Tanzania? Maana kuna watu kibao humu wanashabikia tu kwamba tuingie vitani ilihali wao wapo nje ya nchi. Hatua zilizotangazwa na Dr Slaa ni Makini sana. Kwa sasa yaitishwe maandamano haraka ya kupinga matokeo kuendelea kutangazwa na si kutangaza vita. Hivi unazijua cost za vita mkuu?
I dont believe this!!! Hiyo ndio solution yako kwa tatizo hili!!
Na ikifanyika hivyo hivyo 2015 utasema tusubiri 2020???
Who chose "your" chosen few?We shall lebarate this country from the choosen few.