Lexus vs Toyota

Kifupi ni kwmba Lexus inazalishwa ndan ya Toyota
 
lexus ni brand ambao ipo chini ya Toyota,ni brand maalum iliyobuniwa ili toyota iweze kushindana kibiashara na brand za kimarekani hasa kipindi hicho ambacho ushindani ulikuwa mkubwa mno,lexus ni luxury for exporting to US,more information please try to google.
 
Mkuu ni heri uka-Google.
Hapa tutaongopeana coz Tz hatuna hata kiwanda cha kuzalisha Baiskeli [emoji3].
Usisahau kutupa mrejesho
 
Kaka unahitaji kufahamu tofauti ya mkono na mguu katika mwili wa mwanadamu Hahahahaaaaaa
 
Lexus luxury "mayai" Kali inauzwa mamba "D" haijarudiwa rangi. Bado linang'aa haina mchibuko hata mwaka Hakuna.

BEI: 22 MILLION.

MAWASILIANO: 0787403768
 
Samahani wakuu naombeni kujuzwa uhusiano kati ya hizi brand mbili
According to Kelly Blue Book sales data, Toyota is down while Lexus is up. That's odd, because, of course, both brands are owned by Toyota, and the vehicles share many common parts.
 
Hawa ndio wanao ifanya bangi kupigwa marufuku na serikali nchi hii[emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…