Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wauza uduvi mlifanyaje??Ni huyu huyu alituambia wauza uduvi Tutaolewa.
Hana akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wauza uduvi mlifanyaje??Ni huyu huyu alituambia wauza uduvi Tutaolewa.
Hana akili.
Hawa jamaa Punguani kabisa kwa kudandia hoja, mxsuuuKituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kinasikitishwa na kauli za kufedhehesha na kutweza utu wa mwanamke na kauli nyingine za kutatanisha zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma kinyume na maadili na miiko ya utumishi wa umma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora.
Soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
View attachment 3216509
Baada ya Chalamila kujikanyaga na kusema kuwa Wajawazito wanaogoma kununua gloves wakajifungulie nyumbani watu wamechachamaa
---------------------------------------------------------------
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea vikali kauli ilizozitaja kuwa za
udhalilishaji na zinazotweza utu wa mwanamke zinazodaiwa kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, wakati wa hafla ya hadhara iliyofanyika wilayani Temeke, Dar es Salaam.
LHRC imetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Albert Chalamila kwa kauli zake zilizotajwa kuwa za udhalilishaji. Pia, LHRC imeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumhoji Chalamila iwapo hatua za kinidhamu hazitachukuliwa.
Zaidi
RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi. Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es...www.jamiiforums.com
Hawa ni kawaida yao kutoa matamko hata kwa RC wa Arusha walitoa matamko kama haya ya kijingajinga ili waweze kuendelea kupata ufadhili wa mabeberu hawana jipya!Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kinasikitishwa na kauli za kufedhehesha na kutweza utu wa mwanamke na kauli nyingine za kutatanisha zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma kinyume na maadili na miiko ya utumishi wa umma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora.
Soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
View attachment 3216509
Alituambia tusicheze na ile kichwa, ana Maamuzi magumu.Wauza uduvi mlifanyaje??
Sifa zimekua nyingi ameamza kuvurugwaaaBaada ya Chalamila kujikanyaga na kusema kuwa Wajawazito wanaogoma kununua gloves wakajifungulie nyumbani watu wamechachamaa
---------------------------------------------------------------
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea vikali kauli ilizozitaja kuwa za
udhalilishaji na zinazotweza utu wa mwanamke zinazodaiwa kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, wakati wa hafla ya hadhara iliyofanyika wilayani Temeke, Dar es Salaam.
LHRC imetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Albert Chalamila kwa kauli zake zilizotajwa kuwa za udhalilishaji. Pia, LHRC imeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumhoji Chalamila iwapo hatua za kinidhamu hazitachukuliwa.
Zaidi
RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi. Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es...www.jamiiforums.com