LHRC: Chalamila achuliwe hatua za kinidhamu kwa kauli ya kutweza utu wa Mwanamke

LHRC: Chalamila achuliwe hatua za kinidhamu kwa kauli ya kutweza utu wa Mwanamke

Chalamila kwenye hili la wanawake sikuangalia hotuba yake yote hivyo siwezi kusema chochote. Ila kupitia kauli yake ya kipumbavu kuhusu wauza uduvi naungana na wanaotaka atumbuliwe. Kwenye hizi nyakati za janga la ajira tunahitaji viongozi wanaoweza kusaidia vijana kwenye harakati zao za ujasiriamali na sio kuwakatisha tamaa. Chalamila angesaidia kutafuta soko kubwa la uduvi ili vijana wanufaike na sio kuwatemea mbovu. Kwa vyovyote vile MAMA SAMIA atamtumbua huyu mjinga kabla ya August.
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kinasikitishwa na kauli za kufedhehesha na kutweza utu wa mwanamke na kauli nyingine za kutatanisha zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma kinyume na maadili na miiko ya utumishi wa umma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora.

Soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
View attachment 3216509
Hawa jamaa Punguani kabisa kwa kudandia hoja, mxsuuu
 
Baada ya Chalamila kujikanyaga na kusema kuwa Wajawazito wanaogoma kununua gloves wakajifungulie nyumbani watu wamechachamaa
---------------------------------------------------------------

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea vikali kauli ilizozitaja kuwa za
udhalilishaji na zinazotweza utu wa mwanamke zinazodaiwa kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, wakati wa hafla ya hadhara iliyofanyika wilayani Temeke, Dar es Salaam.

LHRC imetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Albert Chalamila kwa kauli zake zilizotajwa kuwa za udhalilishaji. Pia, LHRC imeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumhoji Chalamila iwapo hatua za kinidhamu hazitachukuliwa.

Zaidi

Najaribu kujiuliza hivi Chalamila akitumbuliwa ndio gloves na vifaa vingine vitapatikana mahosptalini? hao LHRC waache unafiki
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kinasikitishwa na kauli za kufedhehesha na kutweza utu wa mwanamke na kauli nyingine za kutatanisha zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma kinyume na maadili na miiko ya utumishi wa umma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora.

Soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
View attachment 3216509
Hawa ni kawaida yao kutoa matamko hata kwa RC wa Arusha walitoa matamko kama haya ya kijingajinga ili waweze kuendelea kupata ufadhili wa mabeberu hawana jipya!
 
Wauza uduvi mlifanyaje??
Alituambia tusicheze na ile kichwa, ana Maamuzi magumu.
Ukiangalia Kichwa chake kilivyokaa huna namna zaidi ya kukusanya uduvi wako na kuondoka kukwepa kuolewa.

Mji mgumu Sana huu.
 
Baada ya Chalamila kujikanyaga na kusema kuwa Wajawazito wanaogoma kununua gloves wakajifungulie nyumbani watu wamechachamaa
---------------------------------------------------------------

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea vikali kauli ilizozitaja kuwa za
udhalilishaji na zinazotweza utu wa mwanamke zinazodaiwa kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, wakati wa hafla ya hadhara iliyofanyika wilayani Temeke, Dar es Salaam.

LHRC imetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Albert Chalamila kwa kauli zake zilizotajwa kuwa za udhalilishaji. Pia, LHRC imeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumhoji Chalamila iwapo hatua za kinidhamu hazitachukuliwa.

Zaidi
Sifa zimekua nyingi ameamza kuvurugwaaa
 
Back
Top Bottom