LHRC: Ripoti ya utafiti wa Sheria ya mwenendo wa makosa ya Jinai na Uhujumu Uchumi

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
06 September 2021
Morogoro, Tanzania

LHRC YAWASILISHA RIPOTI YA UTAFITI WA SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI NA UHUJUMU UCHUMI, YALIA

WASHIRIKI kutoka taasisi za Serikali, viongozi, wahadhiri vyuo vikuu UDSM na UDOM, Asasi za Kiraia, walimu wa vyuo vikuu pamoja na waandishi wa habari wameshuhudia uwasilishwaji wa Ripoti ya Utafiti wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura Na. 20 pamoja na Sheria ya Uhujumu Uchumi sura no. 200.

Wakili Anna Henga mkurugenzi wa LHRC wametafiti mamlaka ya Mahakama Kuu kutoa dhamana toka mwaka 1945 - 2021. Zanzibar makosa yote yana dhamana kwa tuhuma zote. Kunyimwa dhamana ni sawa na kuhukumiwa kabla hata kesi kusikilizwa.

Nchi za Zanzibar, Malawi, Kenya, Zambia na Uganda zilifanyiwa rejea kama nchi za Jumuiya za Madola / Commonwealth katika kongamano hilo lililofanyika mjini Morogoro Tanzania kuhusu makosa gani Mahakama inaweza kutoa dhamana na siyo Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu DPP .

Kesi ya Mutobesya mahakama...

Source: MwanaHALISI TV

Soma zaidi kwa kina :
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…