LHRC walaani vikali tukio unyanyasaji wa kijinsia linalodaiwa kutokea Temeke

LHRC walaani vikali tukio unyanyasaji wa kijinsia linalodaiwa kutokea Temeke

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani vikali kitendo cha kikatili cha unyanyasaji wa kijinsia kilichoripotiwa kumuhusu msichana mmoja kutoka Dar es Salaam,wilaya ya Temeke, Kata ya Makangarawe, Mitaa ya Msakala na Dovya, karibu na Shule ya Msingi Yombo Dovya.
FB_IMG_1722869520280.jpg

FB_IMG_1722869681818.jpg
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani vikali kitendo cha kikatili cha unyanyasaji wa kijinsia kilichoripotiwa kumuhusu msichana mmoja kutoka Dar es Salaam,wilaya ya Temeke, Kata ya Makangarawe, Mitaa ya Msakala na Dovya, karibu na Shule ya Msingi Yombo Dovya.
View attachment 3062343
View attachment 3062344
Hega, hii serikali hayo ya kulaani ni mapambio. Nenda mahakamani kushinikiza serikali iwachukulie hatua mapolis waliohusika maana wanatambulika, clip zipo! Kulaani kwa ccm ni wimbo wamapambio
 
Wakamatwe haooo
Msiishie kulaani tu
wakiachwa vijana watazidi
Kubakana na kflnnnnn
Hili taifa linaelekea kuwa sodoma
Na gomorrah

Ova
 
Huyo binti alikuwa anayembea na mama/afisa wa vyombo vya Dola. Bosi akaamuru vijana wakambake, hao vijana wakifikishwa mahakamani watasema tulitii amri ya bosi. Watumishi wa vyombo hawatakiwi kubisha amri ya bosi wao HATA wakiambiwa nendeni Dodoma mkampige risasi Yule mnyaturu anaongea SANA WANAENDA tu.
 
Waliyofanya kitendo hicho mpaka sahivi wanapeta uraiani tu
Naona wana subiria wapewe assignment nyingine wampige dem mwingine mtungo na kumflll
wenye mamlaka hii kitu wanaona burdannn


Ova
 
Wakamatwe haooo
Msiishie kulaani tu
wakiachwa vijana watazidi
Kubakana na kflnnnnn
Hili taifa linaelekea kuwa sodoma
Na gomorrah

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] liwe mara ngapiiii? Watu wanafiranaa km hawana akili nzuri.
Tena waliona wanachelewaaa!!!
 
Sura zao zilionekana?? Aisee naona huruma..kitu chochote ukikifanya bila kuridhia ni ukatili na mateso...
 
Hapa tulipo na serikali ya ccm na hao watu wa usalama wanaohusishwa na hilo tukio usitarajie lolote

Kuna wakati tutakuwa tunachukua haki zetu wenyewe bila kusubiri mahakama kutupa
Kama angekuwa ni ndugu au mtoto wangu amefanyiwa hivyo ningehakikisha hao watuumiwa hafungwi hata mmoja wote wanabaki mtaani hili mimi niwe hakimu wao

List ingekuwa hivi
1. Alie watuma
2.wabakaji
3.aliefakisha jambo ata kwa kutoa chumba

Mwanzo. 34 : 1-31
Sina video wala sitaki kuiona.
 
Back
Top Bottom