Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tukio hili lilirekodiwa katika picha mjongeo zilizomsambaa katika mitandao mbalimbali zilizoonyesha binti huyo akibakwa, kulawitiwa na kushurutishwa kuomba msamaha kwa “afande”.
Soma Pia:
i. Swali la kwanza taarifa zipi ni sahihi kutoka jeshi la polisi makao makuu, wizara ya mambo ya ndani au makamanda wa polisi wa mikoa wa Dar es Salaam na Dodoma.
ii. Swali la pili je watuhumiwa ni maafisa wa jeshi lipi?
iii. Swali la tatu watuhumiwa katika tukio hilo walikuwa watano, je huyo mwingine ni nani na yuko wapi?
iv. Swali la nne binti alilazimishwa kumuomba msamaha “afande”, je Afande ni nani?
v. Swali ya tano, je mhanga yupo salama katika mikono ya wanaomhukumu kuwa ni kama alikuwa anajiuza?
vi. Swali la sita, je binti huyo kuwa katika mikono ya polisi hakutaathiri upatikanaji wa haki na ushahidi?