The greatest footballer without International credentials is yet to be born!! Messi has failed to enable his country to aquire International glory by failing to win World cup or copa america cup!! In Argentina Maradonna will ever remain to be admired above any other player in his country to date!! He brought glory to his country by substantial contribution to bring the world cup!!! Messi atabakia kuwa kijana mzuri na mburudishaji katika soka, lakini linapokuja suala la kujiunga kwenye kundi la wanaume soka Messi bado na uzee unamnyemelea kwa kasi!! Amebakiza mwaka huu ajaribu kushinda kombe la copa america na mwakani ajaribu kushinda kombe la dunia!! Simwoni Messi akihimili mikiki mikikiki ya soka miaka minne ijayo!! Messi aliyekuwa aliyekuwa na uwezo wa kufunga zaidi ya goli moja kwa mechi moja leo anahitaji mechi tatu kufunga goli moja!!!
Kama Messi akifanikiwa kubeba ndoo ya copa america mwaka huu au kombe dunia mwakani hapo ndipo tutaweza kumweka kundi moja na magwiji wa soka duniani kama Maradona, Pele G. Muller nk, Cristiano Ronaldo nk.