Library of University of Dar Es Salaam in 1970

Library of University of Dar Es Salaam in 1970

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1101337
 
Huyu dogo aliupata u professor akiwa na miaka 23.
Walter Anthony Rodney (23 March 1942 – 13 June 1980) was a prominent Guyanese historian, political activist and academic. He was assassinated in 1980.
I
shukrani.
so alikuwa anasoma hapo chuo au alikuwa anakuja kwa Ajili ya library kujisomea au alikuwa lecture?
nahitaji kufahamu na hilo
 
Alikuwa lecturer pale UDSM mnamo 1966-1968 pia 1970-1973.
Ni mtunzi wa kitabu maarufu: How Europe Underdeveloped Africa.
Duh.Alikuwa Raia wa Taifa gani?
hapo juu Kuna maelezo toka kwa mdau kuwa jamaa.aliuwawa!
Aliuawa akiwa ndani ya Tz au nje?

Nimevutiwa na huyu jamaa.
 
Halafu watu iaka hiyo walikua hawana vipara, sio vipara vya asili wala vya kunyoa fresh ya unga. Vipara vilikua kwa baadhi ya ma lecturers kama kina Prof Mmari. Kufuga nywele ndio ilikua mpango mzima
 
Alikuwa lecturer pale UDSM mnamo 1966-1968 pia 1970-1973.
Ni mtunzi wa kitabu maarufu: How Europe Underdeveloped Africa.
Pamoja na watu kukisoma hicho kitabu..Afrika aliyetaka kuikomboa ni Gadaffi tu ila akambulia Mazishi
 
Back
Top Bottom