Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Kuna wapiganaji wa EU na US kibao na wapo kama mercenaries ambao kazi yao ni kulinda maslahi ya wezi wa rasilimali za Libya.Hii nchi inasikisikitisha Sana hawa jamaa wamefika huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wapiganaji wa EU na US kibao na wapo kama mercenaries ambao kazi yao ni kulinda maslahi ya wezi wa rasilimali za Libya.Hii nchi inasikisikitisha Sana hawa jamaa wamefika huku?
Hakuna mtu mwema duniani..kila mtu hufanya kwa maslahi yake binafsi.
Kuhusu Gaddafi hilo liko wazi ndiye wakulaumiwa kwa haya madhira wanayoyapitia walibya.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Jamaa ana chuki kupitiliza, yaani wazungu wameteka fikra na utu wao, hawajitambuiNa kama asingeuawa yangetokea yote haya!! Walibya wanajuta, wewe mbongo upo huku wala huelewi kinachoendelea, eti hakuna mtu mwema duniani, sometimes uwe unakaa kimya, sio kila kitu kwa mzungu ni kizuri.
Jamaa ana chuki kupitiliza, yaani wazungu wameteka fikra na utu wao, hawajitambui
Kwahiyo huyo Gaddafi angeishi milele..?shida yenu huwa mnaamini magaidi na madikteta yataishi milele..na mengi huwa hayaandani mazingira ya wataokao endeleza uongozi wa nchi badala ya wao kufariki.Na kama asingeuawa yangetokea yote haya!! Walibya wanajuta, wewe mbongo upo huku wala huelewi kinachoendelea, eti hakuna mtu mwema duniani, sometimes uwe unakaa kimya, sio kila kitu kwa mzungu ni kizuri.
Wema wa waarabu uko wapi..wakati ndio walio kuwa madalali wakubwa wa biashara ya utumwa..mwaarabu kaharibu akili za watu wa pwani hadi sasa madhaira yanaonekana.Mwarabu ataendelea kuwa mtu mwema siku zote, endelea kuteseka bhabhaa, jiwe angavu!! Whabeja sana
Wema wa waarabu uko wapi..wakati ndio walio kuwa madalali wakubwa wa biashara ya utumwa..mwaarabu kaharibu akili za watu wa pwani hadi sasa madhaira yanaonekana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app