Libya: Waandamanaji wadaiwa kuchoma sehemu ya jengo la Bunge

Libya: Waandamanaji wadaiwa kuchoma sehemu ya jengo la Bunge

Alaaniwe Gaddafi kwa kuharibu mifumo yote ya Kitaasisi ya hiyo nchi ili aitawale anavyotaka. Madikteta yakiondoka popote huacha ombwe na vurumai kubwa nyuma yao. Hata Iddi Amin alipoondolewa Uganda nchi hiyo ilipitia vurumai na misukoko mingi sana kabla ya kuwa stable.
Libya walitaka democracy. Ndo hii wanaifaidi
 
Mbona nje ya mada mzee umecopy na kupaste wapi mzee
Nje ya mada? Una ubongo kweli au ni mauchafu mengine yamejazwa kichwani kwako?

Tafsiri ya nilichoandika KINACHOTOKEA LEO LIBYA NI MATOKEO YA UONGOZI MBOVU WA KIDIKTETA AMBO ULIANDAA TAIFA LA WAVIVU NA MIUNDO MIBOVU YA UONGOZI
 
Magaidi yote huwa yanaharibu akili za watu..ila matokeo yake hua ndio hayo..Gaddafi alizani yeye ni immortal kuwa ataishi milele.

Walibya walitaka kitu tofauti ila alichelewa kuwapa..angewapa mapema haya yote yasinge tokea.

a good dancer knows when to leave the stage.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakika, watu wanaangalia tu Walibya walipoangukia badala ya kutazama kwanza walipojikwaa(ambapo ni kwenye udikteta wa Gaddafi)
Magaidi yote huwa yanaharibu akili za watu..ila matokeo yake hua ndio hayo..Gaddafi alizani yeye ni immortal kuwa ataishi milele.

Walibya walitaka kitu tofauti ila alichelewa kuwapa..angewapa mapema haya yote yasinge tokea.

a good dancer knows when to leave the stage.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unaongea nini wewee!!! nani alikuambia panadol inatibu malaria?
Hapo umeongea upuuzi. Kugawa kwake hela ndio kulifanya sasa hivi umeme uwe unakata? Umeme kukata mwaka 2022 na serikali kugawa hela miaka ya kabla ya 2011 vina uhusiano gani
 
Hakika, watu wanaangalia tu Walibya walipoangukia badala ya kutazama kwanza walipojikwaa(ambapo ni kwenye udikteta wa Gaddafi)
Kuwaongoza watu simpo sana..wafanye waamini kuwa wana uhuru wakufanya jambo lolote nchini mwao ikiwa uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

Yeye alizani kuwapa elimu..nyumba..umeme maji bure ndio kuwaweka chini ya himaya yake..noo noo mwanadamu asili yake ni uhuru ukimpa kila kitu na kumyima uhuru lazima atakuchukia tu.

Ndio mana vuguvugu lilivyo anza ilikua rahisi sana kwa wananchi kuliunga mkono na kumuondoa gadafi madarakani.

Kama alikua anaipenda sana libya angetengeneza system atoke madarakati awachie wengine watale hata kama yeye atatawala kwa mgongo wa nyuma.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bomu aloliunda GADDAFI kwa mikono yake ndio linalipuka sasa. Kwa watu ambao hawajafanya tafiti kuhusu ideology za ghadafi au wanaazi wa dini watanishangaa sana lakini ukweli ndio huo.

[emoji3504] Alitengeneza taifa la wajinga lisilokuwa na demokeasia akiamini ataishi milele kuwaongoza walibya kwa remove control lakini kumbe isinge wezekana

[emoji3504] Alikuwa anatumia fedha za mafuta kupika na kutengeneza migogoro kwenye nchi nyingine ili kufanikisha idiology yake ya kuibadilisha Africa na dunia wafuate itikadi zake za kidini

[emoji3504] Alijenga nyumba nyingi sana za dini yake hata maporini kusikoishi watu akiamini kuna siku watu watalazimishwa na vikundi alivyovianzisha na kuvifadhili kwenda kujaza nyumba hizo. Alikuwa mstari wa mbele kununua baadhi ya wanasiasa ili ajenda yake ipenye kama alivyokuwa anamtumia. Nduli Idd amini kwenye vita ya uganda kumpa silaha na kutuma wanajeshi wake kuja kutupiga Tanzania kwenye vita ya uganda lakini haikuwezekana.

[emoji3504] Alikuwa anawalambisha pipi vijana wa Libya mazee mazima kwa kuwajengea vijumba na kuwalipia mahari ili yawe majinga yasipate nafasi ya kuhoji rasilimali za nchi yao alizokuwa anazitumia.vibaya kufadhili vikundi hatarishi kwenye nchi nyingine akiamini kuwa hao walibya wangeendelea kuwa wajinga daima lakini BOb marley alishaimba kuwa" .....You can fool some people for sometimes but you can't fool all the people all the times:"

[emoji3504] Hiki ndio kinachotokea sasa yale majinga aliyokuwq anayalipia mahari na kuyajengea vijumba sasa yameamka yanadai mgao sawa wa rasilimali za nchi yao, awe angekuwepo au asiwepo kama sasa hivi hiki kinachotokea lazima kingetokea ilikuwa ni suala la Muda tuu

[emoji777] Huyo gadafi ndiye aliye kodi makahaba kwa fedha nyingi na kwenda kwenye mji wa itally kudhihaki ukristu

[emoji777] Huyu ndiye aliyetuma wanajeshi wake kuja kumwaga damu.sisizo na hatia za watanzani

[emoji777] Huyo ghadafi alianzisha migogoro mingi kwenye nchi nyingine na kwa siri kuanzisha na kufadhili vikundi vingi vinavyosumbua leo akiwa na idea ya umoja wa afrika yankidini yake

[emoji3532] Bomu alilolitengeneza ndio hiloo.linalipuka, alidhani wananchi wake wangeendelea kuwa kama wafuasi wa zumaridi wa kulishwa chakula wakati fedha zote wanamwachia yeye sasa bomu linawalipukia waliorithi utawala wake
Mjinga kabisa ww
 
Kwa Walibya pana mazingatio, tushukuru kwa kile tulichojaaliwa, na pia thamani ya mtu/kitu haionekani mpaka kiondoke.
 
Kwa Walibya pana mazingatio, tushukuru kwa kile tulichojaaliwa, na pia thamani ya mtu/kitu haionekani mpaka kiondoke.
20220704_195840.jpg
 
Back
Top Bottom