Licha ya Botswana kuwa nchi Tajiri na idadi ndogo ya watu Milioni 2.5 tuu lakini wananchi wake hawana ajira

Licha ya Botswana kuwa nchi Tajiri na idadi ndogo ya watu Milioni 2.5 tuu lakini wananchi wake hawana ajira

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

Botswana.png

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.

View: https://x.com/MineNewsAfrica/status/1889174104852336966?t=hJrQmGAtKO4W9dtSST8_6g&s=19
 
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.

Mkuu usisahau hayo mauza uza yamefanywa na serikali iliyotawala miaka karibu 60 kama kwetu hapa vegetables.

Chama cha siasa kikikaa zaidi ya miaka 10 lazima kitaharibu tu.

Botswana imefukarishwa na chama tawala kilichong'olewa mwaka jana.

Sisi hapa Tanzania tuna kila kitu ila ni fukara wa kutupwa chini ya vegetables. Vegetable wanachokifanya ni kuendelea kutufukarisha.
 
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.

Huo ufugaji wa kosasa Botswana sijakuona. Ming'omve inazagaa ovyo mtaani ndo kisasa?
 
Poor mind ! Nchi ikiwa Tajiri ama rasilimali unadhan hakutakuwa na tatzo la ajira? USA ambae ni super power kule kuna matatizo ya ajira pia ,,, waganga njaa na walala stand wamejaa kibao.,,,,usidhani maisha ni rahisi namna hiyo ! Wake up
 
Ile nchi ni nusu jangwa kwaiyo kilimo hakilipi si kama huku zaidi ya70% ni wakulima.
Kwa population ile biashara pia ni ngumu nadhan umeelewa sasa
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.
 
Ile nchi ni nusu jangwa kwaiyo kilimo hakilipi si kama huku zaidi ya70% ni wakulima.
Kwa population ile biashara pia ni ngumu nadhan umeelewa sasa
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.
 
Mkuu usisahau hayo mauza uza yamefanywa na serikali iliyotawala miaka karibu 60 kama kwetu hapa vegetables.

Chama cha siasa kikikaa zaidi ya miaka 10 lazima kitaharibu tu.

Botswana imefukarishwa na chama tawala kilichong'olewa mwaka jana.

Sisi hapa Tanzania tuna kila kitu ila ni fukara wa kutupwa chini ya vegetables. Vegetable wanachokifanya ni kuendelea kutufukarisha.
Botswana sio nchi masikini, Kiwango cha umaskini Botswana ni kidogo sana (16%).
 
Ile nchi ni nusu jangwa kwaiyo kilimo hakilipi si kama huku zaidi ya70% ni wakulima.
Kwa population ile biashara pia ni ngumu nadhan umeelewa sasa
Ni tajiri wa Mali asili na wachache Kwa nini wakose Ajira?
 
Poor mind ! Nchi ikiwa Tajiri ama rasilimali unadhan hakutakuwa na tatzo la ajira? USA ambae ni super power kule kuna matatizo ya ajira pia ,,, waganga njaa na walala stand wamejaa kibao.,,,,usidhani maisha ni rahisi namna hiyo ! Wake up
Toa ujinga wako,hapo tatizo ni kubwa zaidi ya ilivyotakiwa ,in fact kuliko Hadi Tanzania
 
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.

2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii

3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga

4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk

5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.

Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19

My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣

Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.

Kumbe bongo vichaa tupo wengi?
 
Mkuu usisahau hayo mauza uza yamefanywa na serikali iliyotawala miaka karibu 60 kama kwetu hapa vegetables.

Chama cha siasa kikikaa zaidi ya miaka 10 lazima kitaharibu tu.

Botswana imefukarishwa na chama tawala kilichong'olewa mwaka jana.

Sisi hapa Tanzania tuna kila kitu ila ni fukara wa kutupwa chini ya vegetables. Vegetable wanachokifanya ni kuendelea kutufukarisha.
We kwl ni lofa
 
Back
Top Bottom