Bangimtu
Member
- Feb 1, 2025
- 87
- 147
Sasa wewe unabishana na mie ?Kwa hiyo unabishana na Rais wao kwamba hakuna Ajira au? Wewe unapenda tabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe unabishana na mie ?Kwa hiyo unabishana na Rais wao kwamba hakuna Ajira au? Wewe unapenda tabu?
Pia kumbuka ajira anayowaza Rais wao siyo hiyo unayowaza ya kutembeza Ice scream ya Azam...yeye anazungumzia ajira kama kufanya kazi kwenye viwanda vya kufanya assembling.Kwa hiyo unabishana na Rais wao kwamba hakuna Ajira au? Wewe unapenda tabu?
Hayo ni ya kwako Mimi sijasema hizo ndio Ajira .Pia kumbuka ajira anayowaza Rais wao siyo hiyo unayowaza ya kutembeza Ice scream ya Azam...yeye anazungumzia ajira kama kufanya kazi kwenye viwanda vya kufanya assembling.
Kule mazao hayasitawi kulingana na low rainfall ila wanalima Pasture Grass kwa ajili ya mifugo .. inalipa sana unalima unamuuzia mfugaji..Ile nchi ni nusu jangwa kwaiyo kilimo hakilipi si kama huku zaidi ya70% ni wakulima.
Kwa population ile biashara pia ni ngumu nadhan umeelewa sasa
Wanapanda majani Kwa irrigationIle nchi ni nusu jangwa kwaiyo kilimo hakilipi si kama huku zaidi ya70% ni wakulima.
Kwa population ile biashara pia ni ngumu nadhan umeelewa sasa
Wageni gani?kama hakuna ajira mbona wanasupply ajira kwa wageni?
Mazao ni kitu kingine na majan ni kitu kingine!Wanapanda majani Kwa irrigation
Madaktari wetu wengi wanakimbilia kuleWageni gani?
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.
2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii
3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga
4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk
5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.
Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.
View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19
My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣
Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.
Wengi wa wapi?Madaktari wetu wengi wanakimbilia kule
🇹🇿 Ni zaidi ya Paradiso.Kama unategemea kazi ya kuzungusha bahasha tuu lazima uone Kuna dhiki.Tanzania paradiso?
Unahangaika sana kutafuta taarifa za kuhalalisha dhiki iliyopo nchini. Usijidanganye.
Huwezi kulinganisha unemployment ya Botswana na yetu ambayo takwimu zake halali hazijulikani. Hata machinga, maafisa usafirishaji na mama lishe zinahesabiwa ni ajira. Angalia kama Botswana wana hesabu za aina hiyo.
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.
2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii
3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga
4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk
5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.
Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.
View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19
My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣
Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.
Wewe kipi unakijua kuzidi hao Bloomberg?Acha kelele hakuna unachokijua kuhusu Bostwana
Sibishanagi na mabwege mimiWewe kipi unakijua kuzidi hao Bloomberg?
Hujui kitu wewe boyaSibishanagi na mabwege mimi
Single source ya utajiri haiwez kunufaisha watu wote, ili hilo suala liwe resolved nchi inatakiwa iwe na multiple sourcesNi tajiri wa Mali asili na wachache Kwa nini wakose Ajira?
1.Botswana ni tajiri wa Madini ya Kila aina hasa Almasi.
2.Botswana ni Kati ya Nchi zinazofanya vizuri Kwa Utalii
3.Botswana Ina Watu wachache zaidi sawa na Mkoa wa Shinyanga
4.Botswana inapakana na Nchi zilizoendelea eg South Africa,Namibia,nk
5.Botswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama.
Pamoja na yote hayo haijasaidia Vijana wa Nchi hiyo kupata ajira kiasi kwamba ni Kati ya Nchi Zenye Unemployment kubwa hapa Afrika.
View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1885559783597449313?t=x6uQpK_ChAtY5jOxzBsqtA&s=19
My Take
JK alikuwa sahihi kuwakatalia Salary Madaktari wa Ulimboka walipogoma na kudai watakimbilia Botswana na Kenya 🤣🤣
Aisee Kwa Takwimu hizi Tanzania ni paradiso,sihami Bongo aisee.
Wawekezaji wa South AfricaBotswana Inaongoza Kwa Ufugaji wa Kisasa wa Ng'ombe wa nyama. sasa hiyo kazi ya ufugaji anafanya nani kama hawana ajira
kama sisi huku waarabu wanavyowekeza kwenye bandari na vitalu vya wanyama poriWawekezaji wa South Africa