Licha ya fitna na kushinda ugenini, Yanga SC kuwasili nchini leo

Licha ya fitna na kushinda ugenini, Yanga SC kuwasili nchini leo

Jana wote tumeshuhudia yanga wakishinda bao 4-0 ugenini licha ya kufanyiwa vitimbi kibaooo, Leo mabingwa hao watarejea nyumbani saa 3 usiku.

Nyote mnaombwa kwenda kuwapokea airport. Hizo ndo dozi za kutoa ugenini siyo eti kushinda 2-0
sarcasm
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Guvu moya[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Jana wote tumeshuhudia yanga wakishinda bao 4-0 ugenini licha ya kufanyiwa vitimbi kibaooo, Leo mabingwa hao watarejea nyumbani saa 3 usiku.

Nyote mnaombwa kwenda kuwapokea airport. Hizo ndo dozi za kutoa ugenini siyo eti kushinda 2-0
Wewe jamaa, Mada hazina kichwa wala miguu.
 
Walifanyiwa figisu sana ugenini. Ila bado tumeshinda. Watakuja nyumbani
 
Back
Top Bottom