njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
sarcasmJana wote tumeshuhudia yanga wakishinda bao 4-0 ugenini licha ya kufanyiwa vitimbi kibaooo, Leo mabingwa hao watarejea nyumbani saa 3 usiku.
Nyote mnaombwa kwenda kuwapokea airport. Hizo ndo dozi za kutoa ugenini siyo eti kushinda 2-0
Walikuwa ugenini mkuusarcasm
Naaam saa tatu leo mashujaa wetu wanarejea nyumbani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Guvu moya[emoji123][emoji123][emoji123]
Wewe jamaa, Mada hazina kichwa wala miguu.Jana wote tumeshuhudia yanga wakishinda bao 4-0 ugenini licha ya kufanyiwa vitimbi kibaooo, Leo mabingwa hao watarejea nyumbani saa 3 usiku.
Nyote mnaombwa kwenda kuwapokea airport. Hizo ndo dozi za kutoa ugenini siyo eti kushinda 2-0
goals 2 zilikataliwa ndugu yangu, kucheza ugenini siyo jambo dogo kuna fitna sana afrika hiiWalifanyiwa figisu sana ugenini. Ila bado tumeshinda. Watakuja nyumbani